@martine.james5: RAIS NA SERIKALI YAKO,HUNA SIFA YA KUIONGOZA NCHI HII AWAMU NYINGINE?. ISHARA NI HII. "DENI LISILOLIPIKA TZ". HUU NI MZIGO MZITO UMETUTWISHA WAAFRICA,WALIMA NYANYA,MACHINGA nk.

Paza Sauti TV🎖
Paza Sauti TV🎖
Open In TikTok:
Region: TZ
Friday 25 July 2025 13:43:21 GMT
243290
8878
1844
1229

Music

Download

Comments

dulladully743
Dully💫🤳 :
Wenye tuna mchukiya Mama kimoyo moyo Tujuane
2025-07-26 07:15:42
376
lameck.paul0
lameck paul :
tanzania inahitaji watu kama ww uko sawa
2025-07-25 19:35:36
360
user508358702987
capitano matteo :
daaah! upo sahih san broo yan ni ukwel mtupu 😭
2025-07-26 15:59:33
2
bet.cut
Betá Cutè :
Husia wa marehemu mtalajiwa😅 jifiche hawatokuacha salama
2025-07-26 07:41:00
22
elikanabackup
ELIKANA BACK UP✅ :
tunao angalia video tukiwa tunasoma comment tupo hapa
2025-07-26 02:14:12
118
sangusson
pius :
JAMAA ANAONGEA POINT ILA WALIO PEWA BAISIKELI WANAMUONA MJINGA, ILA JAMAA YUPO SASA HIHI
2025-07-26 03:31:00
125
fettylit
fety :
Mitano tena 🖐️tuna mpa kwani iyo deni unairipa wee chefuuuuu
2025-07-25 20:06:53
11
rencia.john
rencia john :
Tanzania wanao msapot Samia ote mbwa na comment zenu
2025-07-26 03:09:27
178
maryammohamed7015
Maryam Mohamed :
mmmmh ebu kunwa na maji upoze koo jamani maana unaongea kwa uchungu sana brothe
2025-07-26 10:24:12
1
user90404232jr
juniour :
turio sikia na kuona kuwa ameongea ukweri mtupuu tujuane apa👍👍👍✌️
2025-07-26 15:05:56
35
saidysalehe
fund saidy Abdallah salehe :
huyu ajielew mwendo Kasi inatengenezwa na nn
2025-07-25 20:02:27
11
systemtz3
SYSTEM :
Jamaa kaongea point sanaa kbc
2025-07-26 03:34:57
143
frankj317
Frank Adolf :
oya kaka kachukue form ugombee urais. tunaompa kula huyu jamaa tujuane
2025-07-26 14:07:12
20
petrapierre
💔 :
PESA IMEENDA KUNUNUA BAISKELI
2025-07-26 08:56:44
30
muyatg
Muya Tg :
dah yani namkumbuka malehemu magufuli 😥😪
2025-07-26 10:44:37
31
killerstar5og
Edi Player⚽ :
Tupo Sambamba Na Wew Hadi Watakapo Kuteka😁
2025-07-25 23:02:36
20
hudhaifa..90
Hudhaifa __10 :
Rudi shule ukajifunze kuongea kwanza ujitambue unachokiongea maana naona kama hujisikii unachokiongea wewe Dunduka
2025-07-25 23:43:47
3
sagendaa
Philbert :
watanzania tupo na ww mpaka ufeee
2025-07-26 03:36:44
34
irenedudu1b
Irene :
apewe ulinz m2 wa mung
2025-07-26 10:48:23
20
daudirubibi
daudirubibi :
Tuko Pamoja MTUMISHI WA MUNGU.
2025-07-26 06:02:57
106
elishaerasto160
elishaerasto160 :
Mimi nipo na wewe mpaka wakuteke
2025-07-25 17:22:00
52
mr_mkunye
BUDA masai :
ongopa mtanzania 🇹🇿 akichoka
2025-07-26 16:07:26
7
enockmarcomagele
Enock :
broo mm c mwanachama ata kdg ila unachosema ni sahihi lakin nakuonea huruma
2025-07-25 22:38:36
32
beomarko
beomarko :
muweke Mama yako mwenye hizo sifa inazozitaka tuone
2025-07-25 20:01:12
2
tanzania420
rajiijeiala :
do huyu mshuwa kateta jambo ila kitakacho mtokea siju mana hii nchi imejaa damu ime jaa zambi ime jaa ulimbukeni walio soma niwengi ila wanao pewa nchi waiongomze ndio Balaa mmi nina Imani yakuwa kama mam alisha wahi kuwa makamu ya laisi au wazili mkuu inawezekanaje achukuwe fomu ya ugombea au katiba ilisha badilisha nakama katiba ilisha badilishwa basi watutangazie ssi wananchi tujue
2025-07-26 06:37:28
16
To see more videos from user @martine.james5, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About