huyu mama anadhani huyu klinz akifungwa atafaidika ,
2025-07-28 13:50:02
56
Møjàoñ3 :
i love this 🤣🤣🤣akatae kabisa wakikuyu mtajua hamjui
2025-07-28 14:00:02
15
Mildred God's witness :
anakataa kitu kilionekana na the all nation yawa
2025-07-29 09:16:24
0
Mercy Oyare :
Makosa ni ya huyo kijana mbona alienda kuuza mask Kwa maandamano na obvious anajua maandamano ni kufa na kupona wale watu wa kurusha mawe mkuje ssa
2025-07-28 17:59:39
10
abdinasirdayib839@gm :
Mnajifanya Hamjaona Mtoto Wa Uhuru Kenyatta hapo
2025-07-28 15:19:52
68
KMR :
Huyu mama ako na mdomo sana siangetumia hii mdomo kumtafutia kariuki a better job rather than selling mask?
2025-07-28 15:35:52
13
oscarirungu980 :
dawa nzuri kwa huyo karau aliua hawker ni kurogwa ,sioni kama kuna justice itapatikana
2025-07-28 16:59:55
3
Brandon254 :
hawa ndio relative wamekuja kusaidia, mbona hawangemfungulia ata biashara ya kuuza supu
2025-07-28 15:11:29
8
SAYBi :
muachieni mungu
2025-07-29 15:01:04
0
DubhouseRoots :
this guy in red is he related to president uhuru?
2025-07-28 12:13:06
196
Peter :
uhuru kenyatta junior
2025-07-28 16:11:32
2
Thee joyman ke :
wakikuyu mtalia sana,,,sema tibim
2025-07-28 16:28:09
5
eric Erick :
bias means
2025-07-28 13:04:11
14
M.A.R.I.E_ :
Na kariuki alikuwa anafanya Nini apo penye alishotiwa akiwa peke yake surely,SI angekaa pahali wengine walikuwa
kweli siku yako ikifika imefika
2025-07-29 13:31:42
1
samuel kinyanjui :
huyu mama ako na mdomo nashuku ni kama haba bwana.
2025-07-28 15:26:35
3
Masasi :
sasa angetoa mask ndiyo angehukumiwa ama angekubali kuwa aliua Boniface unadhani ndiyo ingefanya ahukumiwe leo, judgement Iko na proceedings na judgment haiwezi fanywa tu hivo mnafikiria, mkitaka haki mnakuwa watulivu but mkianza kusema eti jaji hakutenda haki basi mtajipea hiyo haki wenyewe
2025-07-28 14:58:42
2
💞Ma kaylerNillan💞💯 :
God you know well Kenya there is no just.. but you can do it for us..God remember this family 🙏🙏🙏
2025-07-28 13:03:26
7
Rosemary Wangechi :
kua msafi pia akili
2025-07-28 19:32:31
2
dat :
tokeni hapo nyinyi
2025-07-28 13:46:27
4
Mah Abbih :
murder inahitaji eye witness sio nilisikia ama nilipata ameuliwa sema niliona akimshoot ama akimdunga kisu na alikuwa amevalia hivi.kezi za murder ni rahisi kuliko Robbery with violence/2
2025-07-28 15:05:41
2
@mariel :
mungu ndie mtetezi wa wanyonge. mtajionea
2025-07-28 12:56:52
52
The only one :
The police is innocent man . kwani mwizi aliuliwa nowadays ni mbaya?
2025-07-28 15:43:23
3
wanjuklucy :
wacheni nikwambie ukweli uyu karao atafunguwa kutaenda evo wachiliwe
2025-07-28 13:10:03
14
THE MKUBWA'S🌹🌹💕💯💯 :
why a we human beings this way... 💔by the time our brother was struggling with masks at least 2 make it have sense ,, this people making noises were no where 2 support him so I don't see any need of making noise while you can't help when the person is alive 💯💔 this not fair 😔😔
2025-07-29 19:17:03
0
ACCOUNTANT🐺 :
Na tulikua tumewawarn kuchagua hii gvt😵
2025-07-28 19:37:33
1
To see more videos from user @brave.brands.medi, please go to the Tikwm
homepage.