Wanajichosha tu na tarehe 29 saa 2 usiku POLE POLE amesema atazungumza na sisi wananchi
alafu unasoma huku unatetemeka mikono
2025-07-29 13:55:34
25
issack malugu :
moto ukiufinik kwa ungo
2025-07-29 15:33:30
1
Dreezy96👊🔥 :
Kwan wanaowatoa wagombea ni akina naniii??
2025-07-29 15:58:43
0
Adam masele :
kigamboni mmetuangusha sana tunamtaka boka
2025-07-29 14:48:58
3
Williamlondoni :
uyu Baba hajuwe kusoma majina ya watu ?
2025-07-29 15:48:32
0
Mwl Gerald kyungai :
naomba kuuliza
kwhy gwajima agombei mwaka huu?
2025-07-29 19:56:21
0
yasini yusuphu :
wanao ongea ukwel mnawatoa naweka mnao wataka nyie yan CCN
2025-07-29 15:00:04
0
Nhamala Ngosha :
hovyoo
2025-07-29 13:24:36
1
Joel Matrin :
mbona unatetemeka mkuu
2025-07-29 13:48:50
9
trainerdigwe :
AKAFIE MBALI
2025-07-29 19:15:03
1
KEVO :
kuna vizee vya kuchapwa viboko cheki hili
2025-07-29 13:55:41
9
Samiha Emedysalum :
mungu tusimamie yallab tutetee waja wk mungu tenda miujiza ya haki yallab
2025-07-29 15:25:53
5
Pastory Edward :
Mbona kama anatetemeka
2025-07-29 15:31:02
0
@Royrick-Kg :
Huyu Mzee mmemtoa wapi mbona hatumjui🤣🤣
2025-07-29 15:59:47
1
MR FUTURE :
acha akatulie kumtumikia mungu maji na mafuta hayakai sehem moja
2025-07-30 05:44:33
0
youngddaniel :
kawe tunamtaka furaha Dominick
2025-07-29 19:52:30
0
Swizy :
Tunamtaka halima mdee wetu
2025-07-29 18:25:22
0
YB GHOST LIFE :
mbn km anatetemeka mikono huyu mzee
2025-07-29 15:28:20
0
kanwAKabi :
huyu mzee wa kugugu atakuwa ni lamasela kusoma shida sana
2025-07-29 15:56:51
2
Edwin :
haakuna kitu muta pata mwaka huu
2025-07-29 13:13:01
1
Teshboy!! TZ :
nilijua tyu lazima iwe hivyo 😥
2025-07-29 16:13:58
1
zahr🥰 :
Msomaji🙄
2025-07-29 17:35:17
0
ochubey5 :
apo ndo wanatuminisha kuwa ccm nimbovu ila inauwezo wa kuchukua sheria yoyote ndan ya nchi..maana mbuge msema kweli kwao ana nidham kheli uwe muongo ili kibarua kiendeleee. ata ukikuta mtu kafa kwa macho yako useme ajafa kazimia t
2025-07-30 06:36:27
0
To see more videos from user @vibesfm106.5_, please go to the Tikwm
homepage.