@richumaa: Maoni yenu ni yapi kuhusu umri wa kuolewa kama wanawake? #richuma #marriage #familylife #relationshipadvice #trendingvideoviral

Richuma
Richuma
Open In TikTok:
Region: KE
Tuesday 29 July 2025 15:19:33 GMT
231086
9983
956
3589

Music

Download

Comments

116618ho
Aswito baiby :
35yrs na sina haraka I’m still children 😂
2025-07-30 10:04:21
105
assignmenthelpergurus
Assignment helper :
Dhana potovu hizo, dada zangu mtu asiwape pressure kwani imeandikwa wapi kwa biblia ama Quran. Soma kwanza oleka ukiwa ready, ukiwa na pesa zako.
2025-07-30 17:57:03
11
hassan_albasri01
Hassan Al Basri :
alafu kuna huyu mfinest wangu anasema mpaka 2037 akiwa 42yrs 😅
2025-07-31 19:12:51
1
mum.namikoye
mum namikoye :
ndio maana africa hakuna kazi kazi kuolewa na kuzaa tuu
2025-07-30 18:04:42
28
judithmlay918
Ney :
ajuzaa 🙆🙆
2025-07-31 19:49:40
2
naabbygirl1
Ukhty Naa :
Nina miaka 40 na ndoa yangu wiki ijayo, allhamdulilah 🙏 nshatolewa Kila kitu nasubiri ndoa tu
2025-07-31 03:21:32
5
user4039201156112
Nasrah speak :
wew Acha ujinga wengine hy miak 25 bado anasoma wew odhesha watoto wako tuu wakateseke huko
2025-07-31 12:37:36
2
tifa005
Tima Farid :
Limbukeni
2025-07-31 18:51:37
1
mimmah_mimah
mima mima :
Wacha kudanganya wtu 26.. bdo ni mtto .35 ndo waschana ssa😅😅😅
2025-07-31 03:33:57
2
yusintheboss
Yusin Nifty :
timu mahajuza mpo🤣🤣🤣🤣🤣
2025-07-30 18:35:39
1
kingdav21
David Nelson Siaka :
jinga kabisa mwanamke anayefaaa kuoa ni 25 kuendelea acha kufundisha watu mumalaya wewe mshangazi
2025-07-30 08:15:39
27
daggy0026
daggy. :
na huyu sister yangu born 1986 bado Sioni dalali ako Tu shida Yake ni nini
2025-07-30 08:43:21
4
user1561315988134
Janet kibonge :
musichana mwenye anajuwa ndoa ni nini kiwanzia 25mpaka 35 akipita hapo amezeheka so muwache kuchemusha watoto wa 2000
2025-07-30 12:20:59
7
nifeloo1
Felix :
Na age ya mwanaume kuoa
2025-07-30 17:39:39
2
doreen_nyaks
doreen_nyaks :
eeey 😅😅😅Nina miaka 39na sina haraka 😅
2025-07-31 14:07:37
1
khafidhu.khashimu
Afidhu ishebo@ :
Akuna ashindweeeh
2025-07-31 19:29:25
1
user3194982136113
mukhery :
ata ukijitunza vzur mpka iyo 26 pia mbn unskua mtam na unakazaaa
2025-07-31 20:02:21
1
gabrielomido
vitzhak Ben zvi :
ukweli mutupu
2025-07-30 16:29:04
2
annamagembe2
annamagembe991 :
imeandikwa wapi kweny kitabu gani
2025-07-31 17:21:57
2
dayan.namalwa
Dayan dee :
siwez olewa na 22yrs shosh pole 🤣🤣heri nzeeke pole pole
2025-07-30 05:51:16
1
user4042637625463
user4042637625463 :
26 mama mzee😁🤣🤣🤣
2025-07-30 18:29:39
1
raquelmiss2
It’s Ray :
Siyo lazm kuolewa
2025-07-30 23:24:09
2
user4319166571209
user4319166571209 :
kula ujana hadi utosheke ndoa si kitu ya kukurupuka uoleke na 22 juu ya kuogopa kuwa nyanya ndio sasa Mr right atokee ukiwa na 28 ushazalishwa Huna pa kwenda unaishi kusema kama ningelijua 😂😂😂
2025-07-31 17:16:34
1
johnbaraka805
Sammy kingstar :
kweli mamaa pewa soda kwa bill yagu mwanaume kamili anekuelewa poa mamaa🤣🤣🤣🤣🤣
2025-07-30 08:36:10
2
francis.the.great57
Francis The Great :
Mashosho wa 26 toeni maoni
2025-07-30 10:32:05
7
To see more videos from user @richumaa, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About