invoice haifanyi biashara lugha zako zakigeni haziiti wateja alafu mbona sisi hatukujui
2025-08-01 07:32:03
3
Aladin16 :
Yan watanzania bwana hahahah yan mtu kutaja vitu kwa lugha ya kikoloni ndio anajiona anajua na ndo msomi watu wanarun biashara na wanamapesa wakinga wapo kkoo wanaagiza mizigo kutoka china wana makampuni ya usafirishaji na hawana hata master ya hayo madude unayo yataja hapo
2025-08-01 06:02:48
8
DAMIAN MAGANGA :
acha kukatisha vijana ndoto zao we ushakuwa c.e.o au ndo nyie mnaotka kujilikana kupitia watu
2025-08-01 07:47:51
1
ngoyibusinesconsultant Ltd :
kwa nza kila mtu ni ( CHIEF EXECUTIVE OFFICER)C.E.O
swala la kujua lakuto kujua ni mbele ya safari almihimu jitahidi kujiendeleza na kukubali kujifunza na kuwa mtu wa tofauti
mimi nimejiita C.E.O toka nipo darasa la sita 2008 na sikumaliza shule niliishia darasa la sita. primary school lakini sasa hivi nina miliki kammpuni 4 ikiwepo hii ya NGOYI BUSINESS CONSULTANTS LIMITED
2025-08-01 16:56:41
0
Porini tours & safaris :
Sasa huu ni ujinga nikishakuwa CEO naajiri ambae anajua izo vitu unazosema, then unafanya kazi kwaajili yangu.
kujua Proforma au quotation sio issue ya msingi
2025-07-31 19:14:19
5
Adili Ladislaus :
yeye anajua na tunamzidi mkwanja kipimo cha mafanikio kweny biashara ni pesa
2025-07-31 17:24:36
4
Yox Chaqre :
hayo maneno inawezekana anayafahamu kwa lugha ya kiswahili au kisukuma sio lazima ayajue kwa kiingereza ndo aonekane ni CEO
2025-07-31 22:05:12
2
Crave Judges :
office ni yangu usinipangie jina la kujiita
2025-08-01 08:52:35
0
Dr.TiNO :
usilete u serious sana KWENYE ISSUE ZA WATU...TUMIA ELIM YAKO ....ILA SIYO KUPONDA VIJANA😅😂😂
2025-08-01 04:52:35
3
SHARIF HODARI MGANYIZI :
boss bishara ukijua hesabu tu mwngine mungu anakufungulia
2025-08-01 08:33:25
0
Yohana Mwita :
ushamba tu unakusumbua ayo mambo kwani wewe unanini? Digree fala ndio hizi
2025-08-01 12:02:45
0
vena.henovate_cages :
Period zinawasumbua nyie na Mic zenu,mlikuwa washauri kwenye hela zetu na matumizi mkaona mmeshindwa mmeamua kutupangia na majina ya kujiita
kwahiyo nikijuwa maana ya hayo meneno bank account yangu digits zitabadilika au?
bongo hatufanikiwi kwasbbaau ya ujuwaji mwingi haswa nyie mnaokaa kwenye hizi 🎤
2025-08-01 05:45:25
1
mylifeasrene :
usitutishe
2025-08-01 16:48:36
0
emanuelilusana :
kwani kingereza ndio unapata pesa mbona wengine hatujui hata hiyo rugha ya kibapeli na tunapata pesa
2025-08-01 06:09:19
0
Ngeleja Plumbings@gmail :
nakuona kaka umasikini umekupiga sawasawa😂😂😂
2025-07-31 19:29:24
4
Lily Jose :
Sasa Kwan akiwa ceo si anamuajil mtu wa manunuz 😆
2025-08-01 10:08:18
0
Diva :
We tuache bwana ee tunapt mtaji kwa shida
2025-08-01 09:39:53
0
To see more videos from user @avopatips, please go to the Tikwm
homepage.