Maneno ya kuambiwa changanya na yako, uwe na pesa usiwe na pesa swala la kuvaa vizuri ni tabia ya mtu,
2025-08-06 11:17:00
85
Pollo_tattoo :
Utaskia umaridadi unaficha umasikini 😂😂 unaficha umasikini gani yani unapendeza alafu unanjaa na matatizo kibao si usenge!
2025-08-06 15:25:27
18
Official Latifah Dangote :
Sivai vibaya kwakua sina hela wacha niwe mjinga kama usemavyo bora nivae kwakua sina fresh tuu labla ndo fikra zangu😂
2025-10-14 13:05:34
1
Osu Mrope :
sasa wewe ni bill gate..!!😂😂
2025-09-30 20:10:54
0
shaddy one brand#£ :
mbn wew ujavaa vesti
2025-10-16 07:39:25
0
sherinewahid02 :
Hapana siwezi kuvaa yebo bana😊😅
2025-10-05 19:48:59
0
B farm :
Maisha hayana formula ishi utakavyo mambo ya kuishi kwa kuangalia watu ni utumwa tu u smart muhimu mtu unakuwa na ela halfu mchafu hasa hizo ela za kazi gani.
Tangu lini maisha yakawa na formula ng'ombe wewe hebu angalia ulivokomaa kudanganya watu wakati wewe kuenda kukaa na kuongea haya unayoyaongea umevunja kabati nguruwe wewe.
2025-08-08 15:10:49
4
@Nifashe madam :
hiyo ni kwel bro
2025-08-06 16:49:03
0
wirtz 933 :
mmmh maneno yako baki nayo mwenyewe
2025-08-07 13:18:17
2
Philipo Justun :
swal la kuoendeza na pesa ni vitu viwl pekeake
2025-08-10 09:38:11
1
Rogers_DAUDI :
Ukiwa nazo ushauriwe kuhusu Kumshukuru Mungu na mlo sahihi ila ukiona ushauri wa kujinyima kutoa kipaumbele ni kwa WALE HAWAJATUSUA 🙏
2025-08-30 09:17:58
1
Last born✅️ :
ujinga tuu sasa Kuna maana gani ya kuwa na hela
2025-08-08 12:45:22
1
Rasheed Sein :
Sikiliza akili yako
2025-08-11 09:20:13
1
Giddy :
Hakun ukwel hapa . Usmart n muhim ktk maisha
2025-08-06 14:34:03
1
CALL.ME.👉+255752552039 :
Sasa ndio utajili gani huo wa kula majani 😁😁
2025-08-31 10:03:13
2
To see more videos from user @godfrey_thedisciple, please go to the Tikwm
homepage.