kama ulimkubali mkuu huyu wa jeshi camanda mabeo gonga like hapa
2025-09-04 18:31:12
43
MR transporter :
naungana na wewe sliendana sana na Raisi magufuli kuhakikisha Tanzania inakuwa salama,,,
2025-09-14 13:11:35
1
mzee wa kuhalibu mody :
akumbukwe na nini kaka huyu nchi ilikua mikononi mwake akaiachia mpaka leo tunateseka kwani angesema kuanzia leo mimi ni Rais alikuepo nyau wa kumkatalia
2025-09-05 16:39:43
6
Ahimidiwe :
Mzee wangu huyu yaani nitaendelea kumpenda Hadi naingia kaburini hakika kwa hekima uliyo nayo barikiwa sana Mkuu tunajifunza mengi kupitia kwako sisi watoto wako Baba barikiwa sana hatuna neno Mungu akutunze...🙏
2025-08-19 19:06:47
0
user24024190945116 :
General mzalendo sana MUNGU amlinde na ampe maisha marefu 🙏 🙏🙏
hata huy kwa nafac yake aliteka watu na kupoteza watu ila uzur kila mty anakufa tu hata kama ataua
2025-08-20 09:45:20
0
user1628018139206 :
hakuna cdf mshamba na aliyeingizwa mkenge kama mabeyo shida kubwa unazunguka hk na kule Sana pesa, pesa pesa yy ajaongwa na watu lkn msuguri alimlinda mzanaki wa kwao mpaka mwisho huyu msukuma alishi
2025-09-06 21:11:38
0
jack :
kafanyaje mnazingua
2025-08-19 02:54:21
0
makilikili1 :
jamani mbona hivi tena kwa nikweri kwaamaana gari rakijeshi iliposutia juzi likiwa limebeba mawili na muzinga wa mabomu basi mwanaripota wetu kigogo ndoo hiki ulicho tujuza
2025-08-19 03:31:29
0
@ ed_Xen 23 :
Mbona mnapiga nyimbo za huzuni? 😳😳
2025-08-19 16:04:10
1
malemi :
alishidwa kupindua inchi kipindi magufuli anafaliki sasa acha tuteseke wa tz
2025-09-02 06:23:10
1
Ad music Babu mshauri w vijana :
dah hakika aisee dah polisi sahv mitaani wanawafanya vijana WA boda boda kama wezi ukikutana na asikari sahv mitaani shida bars baran shida yaani MH hapana AISEE Hadi tunamchukia mama kama NN Hivi maana dah watu hatunauhulu jamani nyie sahv dah 😭 tz imehalibka
2025-08-20 07:35:37
3
PATRICK BENJAMINI :
mimi namkubali sana huyu mzee wetu
2025-08-24 08:09:17
1
musa :
kabisa
2025-08-18 18:07:39
0
King Bulaya 👑 :
kwa kulikon kwa atakumbukwa mbn mnatupa hofu?..
2025-08-19 04:42:21
0
Edward mziray :
Alifanya fear sana ingekuwa mwingine asingekubali kukabidhi nchi...kitu ambacho kimetucost mpaka leo hii.
2025-08-22 16:48:31
1
Marcello sports outfits :
mkulungwa wetu op mabeyo kwa heshma🫡
2025-08-19 18:59:46
1
To see more videos from user @nelly.jotta400, please go to the Tikwm
homepage.