@taguienpaul: #connaitrelamagie

Paul
Paul
Open In TikTok:
Region: CG
Wednesday 20 August 2025 06:48:33 GMT
21131
2122
72
278

Music

Download

Comments

zephirinekunda0
Zephirin Ekunda :
Que veut dire chakra du troisième oeil ?
2025-09-27 17:02:25
2
seraphin2136
seraphin :
je suis intéressé
2025-09-27 09:55:00
4
christinasentiment
chistina :
chakra c'est quoi ?
2025-09-29 07:18:07
0
diakatraore2
diakatraore61 :
lerci.pour.le.conseil
2025-10-13 03:32:04
0
user9024301384158
samsam masika :
j'ouvre mon chakca maintenant
2025-09-14 21:31:08
1
madouzoungrana0
madouzoungrana0 :
comment inscrire
2025-09-19 00:54:24
1
michaelmalumulund
Millionnaire :
merci pour cours de chakra
2025-09-19 15:30:35
1
venant.milolo
Venant Milolo :
paix et bénédiction merci l'Eveil spirituel à l'univers merci ❤❤❤❤😇😇😇😇🥰🥰🥰🥰
2025-09-19 20:38:07
3
felix.nguimbous.m
Felix Nguimbous Makany :
Comment faire pour m'inscrire au cours
2025-09-18 11:56:43
1
moussabourihane
Bourihane moussa 31@gmail @Gma :
comment s'inscrire
2025-09-20 01:26:26
1
jeanchristophei90
Jean Christophe Ivenda :
Merci pour les cours
2025-09-19 11:45:50
1
andrecharlesmango
Andre charles Mangou kaky :
comment recevoir vos cours sur l'harmonisation des chakras ?@
2025-09-01 11:02:49
2
steevenguembi
steevenguembi :
comment s inscrire pour ce cours
2025-09-08 23:15:06
1
youzarsif2392
Youzarsif :
je veux apprendre 🥰🥰🥰
2025-08-22 08:57:50
1
user3795443739007
mathis Guédé :
Comment avoir accès aux cours ?
2025-10-11 03:32:22
0
king_nasir225
Dramane O ta mère C*N :
merci l’univers
2025-10-08 21:34:39
0
user90339720202748
pierre :
amèn
2025-10-04 23:58:36
0
user1448237794380
Jean Claude Béliv362 :
ou puis je aller pour ces cours svp?
2025-10-08 13:41:14
0
dossikitie.kone
Dossikitie Kone :
comment s'inscrire s'il vous plaît
2025-09-28 05:41:09
0
michael.nzemengo
Michael Nzemengo :
je veux vous contacter à priver pour vous poser certaines questions
2025-09-20 14:04:57
0
zephirinekunda0
Zephirin Ekunda :
votre contact téléphonique svp
2025-09-27 16:56:41
0
tapirbunga30
tapirbunga :
+ 1
2025-10-03 20:56:48
0
boumbakongo
Vénérable Maitre Reginald :
je suis intéressé
2025-10-09 22:29:15
0
user1880570543115
user1880570543115 :
comment s'inscrire ?
2025-10-13 08:02:30
0
denislatrebate
Denis Dubron :
bonsoir, comment s'inscrire ?
2025-09-27 16:19:09
0
To see more videos from user @taguienpaul, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos

Kurasa rasmi za Instagram na Facebook za aliyekuwa Balozi wa Tanzania nchini Cuba, Humphrey Polepole, zimefungwa kwa muda, jambo ambalo limezua mjadala mkubwa mitandaoni. Hatua hiyo imekuja saa chache baada ya taarifa kusambaa kwamba mwanadiplomasia huyo ametekwa na watu wasiojulikana mnamo Oktoba 6, 2025, hali iliyozua taharuki kubwa miongoni mwa Watanzania na wafuasi wake mitandaoni. Awali, kufutika kwa akaunti hizo kuliwafanya wengi kudhani kuwa huenda zimedukuliwa au kufutwa kabisa, kutokana na ukimya uliotanda mitandaoni kuhusu Polepole. Wengi walieleza hofu kwamba hatua hiyo huenda ilikuwa na uhusiano wa moja kwa moja na taarifa za kutekwa kwake, ikizingatiwa kuwa alikuwa ni mtu mwenye ushawishi mkubwa katika siasa na mijadala ya kijamii nchini. Hata hivyo, hali imeanza kuwa wazi baada ya mwanaharakati Maria Sarungi Tsehai kutoa ufafanuzi kupitia mitandao ya kijamii. Maria alieleza kuwa ndiye aliyewasiliana moja kwa moja na kampuni ya Meta, wamiliki wa majukwaa ya Facebook na Instagram, ili kuweka ulinzi wa muda kwa akaunti za Polepole. Alisema hatua hiyo ilikuwa ya kiusalama kwa lengo la kuzuia watu wasiohusika kuzifikia au kuzitumia vibaya akaunti hizo wakati huu wa sintofahamu. Kupitia ujumbe wake, Maria aliandika: “Tumeweka akaunti za Humphrey Polepole salama ili wahuni wasiweze kuzifikia. Hakuna aliyezifuta, zimehifadhiwa hadi Polepole atakaporudi uraiani. Tunashukuru kampuni za mitandao zime react fasta! Mwambieni Mafwele sasa wamwachie, hawapati kitu hapo!” Ufafanuzi huo umepokelewa kwa hisia mchanganyiko, huku baadhi ya wananchi wakimsifu Maria kwa kuchukua hatua za haraka kulinda taarifa binafsi za Polepole, ilhali wengine wakihusisha suala hilo na hali ya kisiasa nchini. Licha ya maelezo hayo, bado wananchi wengi wanaendelea kuomba mamlaka husika kutoa taarifa rasmi kuhusu aliko na hali ya afya ya Polepole, kwani tukio la kutekwa kwake limezidi kuzua wasiwasi mkubwa. Kwa sasa, hatua ya kufungwa kwa akaunti hizo imeonekana kama hatua ya tahadhari muhimu, ikilenga kulinda faragha na usalama wa taarifa za Polepole hadi pale atakapopatikana salama. Tukio hili limeibua mjadala mpana kuhusu usalama wa viongozi na wanaharakati nchini, pamoja na umuhimu wa ulinzi wa kidijitali katika nyakati za migogoro au hatari..
Kurasa rasmi za Instagram na Facebook za aliyekuwa Balozi wa Tanzania nchini Cuba, Humphrey Polepole, zimefungwa kwa muda, jambo ambalo limezua mjadala mkubwa mitandaoni. Hatua hiyo imekuja saa chache baada ya taarifa kusambaa kwamba mwanadiplomasia huyo ametekwa na watu wasiojulikana mnamo Oktoba 6, 2025, hali iliyozua taharuki kubwa miongoni mwa Watanzania na wafuasi wake mitandaoni. Awali, kufutika kwa akaunti hizo kuliwafanya wengi kudhani kuwa huenda zimedukuliwa au kufutwa kabisa, kutokana na ukimya uliotanda mitandaoni kuhusu Polepole. Wengi walieleza hofu kwamba hatua hiyo huenda ilikuwa na uhusiano wa moja kwa moja na taarifa za kutekwa kwake, ikizingatiwa kuwa alikuwa ni mtu mwenye ushawishi mkubwa katika siasa na mijadala ya kijamii nchini. Hata hivyo, hali imeanza kuwa wazi baada ya mwanaharakati Maria Sarungi Tsehai kutoa ufafanuzi kupitia mitandao ya kijamii. Maria alieleza kuwa ndiye aliyewasiliana moja kwa moja na kampuni ya Meta, wamiliki wa majukwaa ya Facebook na Instagram, ili kuweka ulinzi wa muda kwa akaunti za Polepole. Alisema hatua hiyo ilikuwa ya kiusalama kwa lengo la kuzuia watu wasiohusika kuzifikia au kuzitumia vibaya akaunti hizo wakati huu wa sintofahamu. Kupitia ujumbe wake, Maria aliandika: “Tumeweka akaunti za Humphrey Polepole salama ili wahuni wasiweze kuzifikia. Hakuna aliyezifuta, zimehifadhiwa hadi Polepole atakaporudi uraiani. Tunashukuru kampuni za mitandao zime react fasta! Mwambieni Mafwele sasa wamwachie, hawapati kitu hapo!” Ufafanuzi huo umepokelewa kwa hisia mchanganyiko, huku baadhi ya wananchi wakimsifu Maria kwa kuchukua hatua za haraka kulinda taarifa binafsi za Polepole, ilhali wengine wakihusisha suala hilo na hali ya kisiasa nchini. Licha ya maelezo hayo, bado wananchi wengi wanaendelea kuomba mamlaka husika kutoa taarifa rasmi kuhusu aliko na hali ya afya ya Polepole, kwani tukio la kutekwa kwake limezidi kuzua wasiwasi mkubwa. Kwa sasa, hatua ya kufungwa kwa akaunti hizo imeonekana kama hatua ya tahadhari muhimu, ikilenga kulinda faragha na usalama wa taarifa za Polepole hadi pale atakapopatikana salama. Tukio hili limeibua mjadala mpana kuhusu usalama wa viongozi na wanaharakati nchini, pamoja na umuhimu wa ulinzi wa kidijitali katika nyakati za migogoro au hatari..

About