hizo simu ni zote au samsung tu? mbona haupo specific
2025-09-02 05:25:25
1
Husna amuri :
Kiongo sana kiki tu
2025-10-26 13:28:23
1
mgaigai :
simu yangu imezima kabisa daaa
2025-09-01 02:26:45
49
user52977988161093 :
mbona nimetumia hiyo formula lakini sipati majibu
2025-09-01 17:12:48
1
Mon Tŕesor 💎 :
Iv zile sm iphone highcopy ni salama kweli ???? kama si salama ziko na adhari gan?
2025-10-21 16:52:37
2
Jozy :
RF Cal
RF Calibration date – siku simu ilipofanyiwa calibration ya radio frequency kiwandani. Inaonyesha tarehe ya “birth” ya simu upande wa network.
2025-09-01 00:55:47
5
Taqwa tv🕌 :
Na iyoo ni samsung
2025-09-02 20:27:43
3
Mo charming official :
ni kwa simu zote au baadhi
2025-09-01 09:57:04
4
James :
mbona imegoma au kwa android ni tofauti
2025-09-01 02:14:05
12
Ringo :
baba umewadanganya baba hiyo ni RF Cal (Radio Frequency Calibration) date is 2023.10.03. tare ya hilo toleo la sim kua released. jaribu nyingin 😅
2025-09-02 12:08:29
1
said chingwalutz0656**** :
muongo msenge wew
2025-09-02 03:24:36
2
samstephano@ :
broo hakuna code ya kujua simu imeanza kutumika lini na ilianza kutumika wapi maana used from Dubai ni nyingi sana saiv
2025-10-13 04:05:20
0
Kurya boy776 :
Viswaswadu ivo
2025-09-02 17:09:07
1
Kim 😜😜🇰🇪 :
kwa zimu zote ama Samsung tu
2025-09-01 07:04:41
1
Brucebanner🧊 :
Je kwa wenye iPhone hii code inatumika bro??
2025-09-02 09:26:37
2
mackmillan :
mzee hiyo inamaanisha radio frequency calibration inamaanisha tarehe ambayo hyo test ilifanyika kuhakikisha kwamba connection kwenye hiyo simu iko sawa
2025-09-01 07:03:06
2
abdulkan :
We jamaa muongo sana unaharibu biashara za watu babu
2025-09-03 04:16:38
2
Hosiana Paulo :
Uuuu yangu ni 2019 na nimenunua miezi minne iliyopita
2025-09-01 21:57:56
1
@kylie100% :
hiyo ni code ya kuangalia simu imetengenezwa lini
2025-09-09 17:30:56
1
shanah_boy_tz :
mmmh sio kwa simu zote
2025-09-01 09:19:43
1
Michael :
we jamaa muongo et
2025-09-02 19:29:08
2
Hassan mzungu :
Kwa watu wa i phone je
2025-09-01 06:10:54
2
To see more videos from user @ubeparicompany, please go to the Tikwm
homepage.