@sylum33: #mombasatiktokers #tanzania #kenyantiktok #oman #fyppppppppppppppppppppppp

꧁☬BU 7AYAT☬꧂
꧁☬BU 7AYAT☬꧂
Open In TikTok:
Region: AE
Monday 01 September 2025 18:14:34 GMT
84127
4283
880
876

Music

Download

Comments

marianne.njeri190
Marianne Njeri190 :
kataa ukubali hata maisha ya sasa ni ya mtandawazi...sio zamani utangoja utafutwe heri kujipost utapata wa kwendana nawe
2025-09-02 12:35:41
7
aikal.sultan
CHEETAH :
na vipi kuhusu wale wanaume ambao wenyewe ndowawaposti wake zao
2025-09-02 05:12:01
30
ablahalkindy90
AblahAlkindy90 :
Maneno ya kweli,hekima,ukumbusho na yenye busara waallah …May Almighty Allah bless u with ur family 🤲🏼
2025-10-28 14:45:25
2
abdullatif.001
ISSAQ001 :
MWANAMKE MWENYE AIBU HAYA HAWEZI KABISA KUJIRIKODI NA KUJIRUSHA SOCIAL MEDIA
2025-09-02 00:29:28
70
rukiamlongomgandi
MAMA AISHA :
ukweli kabsa maneno yko lkn mwaume bahili ni bahili tu kma uyu wangu hana uraibu ata tiktok hana lkn bahili ajabu🥺
2025-09-02 04:06:58
6
ashraf.bayusuf
Ashraf Bayusuf :
wako kazi khui hata tiktok ina afadhali snap ndio noma wanatuma mpaka mapicha na videos ni standard hio khui
2025-10-26 04:26:15
1
maliamu.hassani
maliamu Hassani :
Na Wewepia Simume wamtu Auoni Aibuu 😏
2025-09-03 01:47:12
15
user5600471002099
@Official_mammy🙏 :
Tap tap the screen and share live😂😅
2025-09-02 04:21:14
14
miss_hot001
𝓜𝓲𝓼𝓼_𝓱𝓸𝓽001🦂🦋💥 :
kabisa swadakt msema kweli kipenzi cha mungu 👏💯
2025-09-02 06:02:04
23
user8227369978013
user8227369978013 :
Very true umeongea kama wana ume kumi
2025-09-05 05:25:56
2
eman.herman641
Eman Herman :
tumejifunza labda hatukujua km ilikuwa hivyo lakini imetulenga wote na haijabagua upande wowote lakini nadhani na wew ni mojawapo make account yako Ina picha yako km zote sasa tupe suluhisho tufanyeje??
2025-09-02 03:39:50
9
imsweetie05gmail.com
BabyLondon :
juu bibi ya mtu anachambana humu😂😂😂😂😂😂😂😂
2025-09-02 04:29:56
2
sumaiyyamanua
sumaiyya manua :
uko sahihi my broo
2025-10-28 13:54:06
1
user3988521136759
salma ferc :
na ww wafanya nn TikTok
2025-09-03 09:50:44
1
hopefully165
Real Queen 165 :
mtu na akili zake
2025-09-01 19:51:44
2
bhabhiji001
Bhabhi ji :
wallay wallay Maneno yako Ni ukweli mm nakuunga mkono bro ukisema ukweli Mungu anapenda sana
2025-09-02 14:43:34
5
munny0010
Munira Ali :
Maskini sasa wako busy na mabiashara..wao ndo wawalisha sasa eti ndoa subra
2025-09-02 05:08:04
1
yasminmukoya
Yasmine :
it's true bt mimi najiondoleanga stress ya waiguru allah anipe mwisho mwema 🙏🙏🙏
2025-09-02 04:52:37
11
mayrah.ajmal
Mayrah Ajmal :
swadakta bro ume ongea ukweli m2..hume ongea yanayo stahili...ubarikiwe .bro..
2025-10-11 17:35:05
6
amrane126
Amran Moha :
utaskia wapotea njia atii oooh muko n wivu😂😂😂😂😂😂😳😳but message is home
2025-09-02 06:39:25
3
user9662251968161
user9662251968161 :
ukweli unauma ila bora msg imefika
2025-09-01 20:48:52
7
mooner151
Mooner :
masha Allah umeongea fact bro
2025-09-02 03:53:46
7
almokh23
DE GEA 01 :
kaka umeongea kweli SEMA walio wengi niwajinga wakiambiwa ukweli wanakasirika na ndio kawaida ya wajinga umeongea kweli ukiona ana comment matusi huyo ni mjinga ukweli utabaki kuwa ukweli tu.💯💯✌
2025-10-02 05:34:38
2
To see more videos from user @sylum33, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About