@abdulkarimsimba: Jambo lina hitajïka kufanywa ikiwezekana kisheria hilijambo la supkem li angaziwe maramoja sababu tunako elekea ni aibu huo uongozi una leta kwa jamii
mshia huyu rawafidha mkubwa wallahi Allah atamdhalilisha
2025-09-09 19:12:38
2
Abuu Maida :
Allah aturahisishie walai🙏
2025-09-21 07:55:00
0
Adan Abdullahi :
umenifurahisha. keep up the good work of exposing viongozi wadhalimu
2025-09-20 19:54:18
0
Mehboob :
Hao wamekua hired. Wewe hujielewi na hujui lolote kuhusu Supkem. Kila ukizungumza umesikia.
2025-09-09 20:41:38
0
kamal twaha :
pole lakini kama ni ukweli kama si ni waisilamu..watu walichukuliwa na kulipwa kwetu kwenda maandamano
2025-09-09 03:35:42
0
Pendo_Poultry_Breeders_Local :
Huyu mshia amewazoea waislamu😡
2025-09-09 04:03:32
2
malicha nuri :
Kwanza nashanga Nani kaweka ye hapo huyu sio muislamu
2025-09-08 14:57:41
1
maj34 :
the man milked Kenya Muslim youth alliance and left it to die
2025-09-09 11:41:00
1
Babuu Osama :
Ole nadoo Wewe Dhalimu Unatumia SUPKEM kujitajirisha wewe na wenzio Mnathulumu Mayatima Wajane Maskini na Mafukara Ole Nadoo Must Go
2025-09-15 07:25:40
0
Afia :
Kiongozi ambayo hapigwi vita hafanyi kazi. Kumbe Ole anafanya kazi kweli
2025-09-09 05:15:34
0
Ali Shekuwe :
His desperation is directing him to start fighting mosques and individuals of certain mosques especially Majengo mosque...He better keep off from Riadha and his Mess
2025-09-08 13:29:03
0
Ustadh_Jeylan :
lazima waende
2025-09-10 08:33:17
0
babu j :
huyu jamaa na wengine wanatumia supkem vibaya,wanataka pia kuchukua nyumba ya mayatima,,.
2025-09-08 21:54:02
0
Yahya Mohammed :
shida ya vyama vya kiislam nikukosa kubadilisha uwongozi hata kama ni wafisadi waazi na mapembare
2025-09-09 05:35:30
0
Bin Nassir :
mbona time yote watu wahaja fanya maandamano why sahi sababu wamezidi na ujinga yao
2025-09-09 05:43:49
0
JAMAAL :
huyu aende nyumbani
2025-09-08 20:08:28
0
Sakina Mwinyi :
Simba anguruma!!!
2025-09-09 17:25:06
0
0470arsh :
we mwizi rudisha kiwanjs
2025-09-08 14:24:11
0
Khalifa Athman :
Supkem ni ovyo kabisa. Hawajawahi kusaidia hadi mtoto yeyote kusoma hata madrassa wala shule.
2025-09-13 18:37:04
0
Munir Masoud :
THERE ARE MANY INDICATORS WHICH POINT TO GREAT CORRUPTION IN SUPKEM