🙏🙏 alfu hiyo song n ya nani 🥰 alipe kaluma boy imetrend vinoma
2025-09-12 02:28:33
532
Essie mwaura :
Mimi nko bypass ya ruiru fare ni how much
2025-09-12 06:05:46
196
kushempire👑 :
nataka mdem wa kubeba niko weite🔥
2025-09-12 05:58:54
78
Isabelchege :
watu wa Thika mnipee watu 3 niko na means of transportation
2025-09-13 05:37:00
44
Judy Shirleyn closet :
mwenye Ako alsops anishow tutokanishe plz..need 3 kwa my car.. strictly ladies
2025-09-12 09:20:11
73
shiks :
Wenye wako kenol niko na gari we costshare fuel....4 pple
2025-09-12 18:22:37
36
Gerald wa chaffcutter 🔧🔩⚙️ :
anyone we can go that da I have mean of transportation
2025-09-12 09:47:06
28
puritywaithera61 :
May God bless you ,,never your pocket run down ,,never give up ni this kind of love may God be with you all 🙏🙏🙏🙏🙏🙏
2025-09-11 14:48:05
74
@ mamake bobo 🥰😘 :
sina uwezo but nyi wenye mtaenda wote may your pockets never run dry 🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰
2025-09-12 08:32:04
83
WAWERU WA CHEGE🇰🇪🇱🇷 :
gari iko lakini sina wasee😳
2025-09-25 19:48:57
0
Diana :
🥺🇰🇪Saseni wakenya wenzangu mimi nimekuwa nikisumbuana na boss wangu kila mwisho wa mwezi ikifika lazima tuaumbuane na salary sometimes analipa nusu ama hata kidogo kwa nusu alafu anaanza mastory hazielewezi mimi nilikuwa nimevumilia nimechoka ikafika mahali ikaenda hadi two months hataki kunipea doo zangu alafu kisirani hasira na matusi kila saa aky hawa waarabu tu na hii pesa yao ya laana wanasema haiwezi nisaidia lakini ni sawa mimi nilikaa nikachoka nikaamua kitafuta mtaalam akanisaidia kumtengeneza boss wangu nikalipwa pesa yangu yote na sai kisirani iliiisha na hua hata ananipea time ya kupumzika nashukuru sana Daktari kwa kunisaidia aky kama sio yeye hii nyumba ningetoka kitambo sana kama hata wewe ukona shida kuja nikupee number yake usaidike anafanya kila tatizo hata kuibiwa usiogope ety watu watakusema maisha ni yako nani...or
2025-09-12 06:27:17
17
Japesa :
niko na space ya 7 people but ladies only qualification ya kubebwa ni haga😂
2025-09-13 16:51:54
13
tatawaharrrier :
watu wa kirinyaga na Embu mko wapy
2025-09-12 18:00:32
5
Captain sportswear collections :
Watu wa pipeline nimebakisha watu wawili 1500/= kama uko ready let me know
2025-09-17 03:47:44
3
God is love :
28th niko na space ya 3 passengers.
2025-09-12 14:21:57
3
Essie annbel :
Mimi nimekuja kwa upole Nini inaendelea
2025-09-12 17:34:38
1
Collins :
mwenye ako meru tunaeza endanisha
2025-09-16 11:38:33
4
Benso :
mnaenda ama n chocha
2025-09-11 19:30:33
24
felixjones :
around kangudo road,fuel to be cost shared
2025-09-13 06:51:35
0
juliki💖 :
fare ni ngapi wenye tuko makongeni na kunaendaje??
2025-09-12 09:41:30
12
auntie wa Oman❤️❤️❤️ :
Huku pia nitaenda kunakaa Baraka tupu labda nitatolewa soko kabisa😁🤭
2025-09-13 09:12:56
42
🤺 KAHUSH🤺 :
Kama uko thika niko na gari naweza kupea lift
2025-09-13 03:07:29
10
To see more videos from user @thee_aprillchannel, please go to the Tikwm
homepage.