hivi viongozi wetu awafatili hotuba za mwalimu jaman
2025-09-12 05:44:59
145
Hasad isipo kuuwa itakumbua n :
kumbe uliona mbali sn baba
2025-09-12 07:16:19
55
Doris#mwii :
Ahsantee Baba mbeba maono,uliyaona
2025-10-06 23:53:58
0
Thomas Ngemo~shopify.com :
Mkoa wa MARA mbaka huko jijini MWANZA hatujawahi kutoa viongozi wabovu hasa MARA na haitakuja kutokea tukatoa shoo mbovu.
2025-09-12 07:24:14
8
user5373791865287 :
huyu Mzee alikuwa sawa sanaa sema hakubadilisha hii katiba mbovu🤣🤣
2025-09-12 15:21:32
45
danielbaraza146 :
rest in peace mr president 🙏🙏
2025-09-15 16:51:04
1
Winifred Thomas :
Kassim Majaliwa anaweza chukua kiti baba
2025-09-12 13:40:49
10
BV Bonge Viwanja :
ulale mahali pema baba wa taifa 🙏
2025-10-05 15:44:10
3
user7931797681508 :
mabadiliko tyr na yapo mengi san sgr kila kona shule
2025-09-12 10:32:51
8
Lemburis Kimani :
mzee huyu Mungu tu amrudishe ajee kuona Tanzania yake vile imeharibika
2025-09-12 20:39:43
11
Lee's Tronix 🏴☠️ :
J.K.Nyerere
J.J.Magufuli
2025-09-11 21:36:25
84
joyc :
huyu mtu bwana alikua na ubongo wakipekee
2025-09-13 23:50:35
14
gift mwanga :
watanzania ata uwaletee Mungu watamlaumu tu
2025-09-19 06:08:21
2
Sheru2 :
Mama Samia ameleta mabadiliko
ndani ya miaka 3, na ndio maana watu wameona ana Maendeleo ya kweli.Ndio maana chuki Zina zidi, hakuna kuiba ngazi za juu , kazi.zilio achwa viporo na marehem ana maliza na plans zilizo achwa ana endeleza.japokua walipa kodi wa Tanzania halisi ni wachache, lakini ana jitahid na timu yake.Mungu ampiganie.
2025-09-12 14:02:24
17
teacher :
R.I.P KAMBARAGE AND MAGUFULI
2025-09-14 07:11:53
7
aiki :
ila na mazuri yote uliyoyafanya mwalimu nyerere ulikosea kutuachia katiba mbovu na ndio chanzo cha matatizo yote kwa sasa
2025-09-13 06:04:28
5
👑 king perfect 001👑 :
tutayapata injee ya ccm alisema jk nyerere🔥🔥🔥🔥💪💪
2025-10-06 02:15:23
2
peoples favourite :
uliona mbali baba lakini yupo kikwete anadhalau anataka mtu wake na familia yake utawala wa kisulutani
2025-09-12 04:35:37
17
pasco757 :
Uyu MUNGU NI waajabu kwel uwez amini mwaka huu sikuwa nimezaliwa na ata sasa nimejifunza kitu
Saizi Udini na ukabila ndio ulio tawala sana apa Tanzania tena tunauwana na kufungana kwa Udini na ata kushika nchi ni kwa udini na ikabila R.i.p Mwalimu J.k.Nyerere
2025-09-16 19:33:47
3
Boeing12 :
uku October 29 kuandamana nchi nzima
2025-10-01 17:11:51
8
To see more videos from user @_notminethechoice, please go to the Tikwm
homepage.