@chadematz: Jeshi la Polisi likimshambulia kwa marungu mwananchi aliyefika Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Dar es salaam kufuatilia mwenendo wa kesi ya uhaini inayomkabili Mhe. @TunduALissu.

Chadema Tanzania
Chadema Tanzania
Open In TikTok:
Region: TZ
Monday 15 September 2025 06:46:19 GMT
1204476
35871
3513
1745

Music

Download

Comments

aneth.mapunda6
Aneth Mapunda :
huyo mama aliyeenda wa kwanza kumshika nishujaaa
2025-09-15 07:36:54
2335
djlish
mjukuu wa raila💔 :
huyo mama ni mkenya kutoka kisii😂😂😂😂
2025-10-29 13:08:30
8
judithjaydee6
j.d jaydee KE - :
good job Tanzania
2025-10-29 15:07:22
0
user3315682883050
Together :
Akuna nchi ambaye wananchi ni wajinga na waoga kama Tanzania aise.
2025-09-15 07:39:47
829
user1690339997598
Team Samia :
...Samia WETU mitano tena
2025-09-15 06:50:11
124
user6252286197982
user6252286197982 :
we mama barikiwa na kizazi chako
2025-10-29 08:34:09
5
thepauls0
Retired wife :
Police wa Kenya mnaona hakuna teargas 🙄🙄
2025-10-29 17:23:40
0
hisgraceobma
HISGRACE Obma🇺🇬🇺🇬 :
I like the courage that lady has. be blessed muwala
2025-10-29 14:07:49
4
star254001
Star :
Huyu mama jasiri saana congratulations
2025-10-29 13:20:28
2
linnah.4
Linnah de cute 💜💛 :
Tunaosema Mungu ndo kila kitu gonga like
2025-09-15 16:18:18
87
7519jessie
🦋Jessie home decor🦋💗 :
Mama ni shujaa sanaa😭had nimeliaa
2025-09-15 08:48:37
178
user92706154891140
marry Angel❤️❤️ :
kama wanaleta fujo kwann wasi pigwe😏
2025-09-15 10:20:13
124
lyaan_girl
lina gril :
kuama Tanzania kwenda Kenya unabonyeza ngap??? Kenya naomba mnipokee 🙏🙏🙏
2025-09-15 08:53:40
33
kasweet90
kasweet 90 :
nipee panga please na murudi nyuma kiasi muone kitakajo tokea nimejoka 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
2025-10-29 17:38:41
0
muu955
innocent girl 🥰 :
Mm n mtanzania ila uyo mama anatokea 🇰🇪
2025-09-16 10:09:09
11
anna.fashion41
ANNA FASHION :
we dada ulietangulia kumwokoa huyo kaka mungu akubariki sana
2025-09-16 05:19:06
59
haji86.1
Msanii :
mtakufa kweli mbwa nyieee mnaleta upuuzi na serekali na bado mavuzi yenu huwezi kupigwa bila sababu mbona mimi sijapigwa au wewe hujapigwa ukifata mkumbo lazima uteseke nchi hii. kaa nyumbani kula ugali wako na familia yako uone kama utapigwa kuma nyieee
2025-09-16 16:53:00
5
user5697428027561
user5697428027561 :
kumbe askari wa Tanzania wana roho mbaya hivi hata kuliko wakenya🥺🥺
2025-10-26 18:06:02
0
sammybrown2120
sammybrown2120 :
uyu mama atakua si mtanzania halisi ako na chembe chembe za kenya
2025-09-16 07:46:50
112
gwala209
G.w.a.l.a🧚🏻 :
Wanadhan askari wa bongo ni kam wa kenya ohoo mtakufa😂
2025-09-16 04:38:34
4
rumeisajamilarbeb
KOMA WEWE :
huyo mwanamke ni jasiri ndio maana uchungu wa mzazi ajuwae ni mama💪💪💪💪💪
2025-10-28 16:25:35
4
cutecandy685
.Cute Candy..💍🕊 :
mama ni mama tu ila sio mama samia🥺😭
2025-09-15 10:43:06
29
superlago.zuberi
BROTHER :
kumbe wanawake wa kitanzania ndio jasiri kuliko wanaume 🤣🤣🤣🤣
2025-09-16 15:55:58
15
user9459286561875
soldier boys :
uyu dada nimekubali vibaya mnoo
2025-09-15 07:34:50
428
aubar_29
aubarr :
kufeni nani aliwaambia muende
2025-09-15 08:59:01
6
To see more videos from user @chadematz, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About