kaka mm nawish niw legend ila sizani maana 😅😂😂😂 napigika kinoma nimeanza juzi tuu. sm kubwa ninayo ila mhhh balaaa nakata taamaa bora nicheze efootball tuu😂
2025-09-18 17:33:57
1
XT‹›zombie :
oyaa me nikirusha kitu Huwa hakiendi mbali kama wewe ulivyo lisha kisu. naomba nielekeze namna ya kuset
2025-09-18 14:13:53
0
KhuZman :
nakubali mzee
2025-09-18 14:35:15
0
L E V :
device Gani unayotumia mwanangu
2025-09-19 09:18:18
0
@KGS RAMAA :
🤣😂🤣atuna nidhamu ya uwoga ni 🔥🔥🔥2
2025-09-19 15:56:26
0
RAHIM :
nilibahatika kumpiga TDMKING
2025-09-18 16:26:53
0
Mutwiri Eric :
7thedante7
2025-09-18 20:34:41
0
🅣 🅔 🅚 🌹 🤡 :
sawa kaka
2025-09-20 05:03:30
0
i-a-m Bayser🎱 :
Level up my brother 🔥🔥🔥
2025-09-18 14:07:20
0
Salegy :
Aah kaka unakiwasha mno
2025-09-18 18:59:38
0
Hansgod Ham :
apo umesema kitu cheza kwa akili🤫🤫🤫🤫🤫
2025-09-22 11:04:38
0
𝙍𝙊𝙔𝘼𝙇 𝙆𝙄𝙉G GΨ?👑 :
🤣🤣shida FPS kak yaan hata hujui risasi zinatokea wap
2025-09-18 19:14:24
0
《͜JNNYISSA》 :
Eid El adha
2025-09-18 19:53:35
0
mchopanga :
respect bro
2025-09-18 15:59:47
0
Mr.tattoo 🖤 :
Hivi Kwann huwa na lag sana nikushuka kweny event🥺
2025-09-18 14:05:04
0
BD MUSA🃏🎮 :
kaka unatumia network/laini gani man ms zako zimetulia sana🥲