@pashtocomedy4: BAGGY KHAN PASHTO FUNNY VIDEO 🤣😂😜#pashtofunny #funnyvideo #viralvideo #unfreezemyaccount #foryoupage

ACCOUNT FOR SALE ☺️
ACCOUNT FOR SALE ☺️
Open In TikTok:
Region: PK
Friday 19 September 2025 04:04:24 GMT
2145441
141916
7608
14273

Music

Download

Comments

digitalcreater21
XRK :
2025-09-19 17:11:10
759
monal.ktk
Monal ktk :
پہ سپنگوں روتے خوری کہ سنگہ 🤣
2025-09-24 16:40:52
55
xiaomi.17.pro.dream.phon
Xiaomi 17 or dream phone :
:غین غین غین غین غین غین غین غین غین غین غین غین غین غین غین غین غین غین غین غین غین غین غین غین غین غین غین غین غین غین غین غین غین غین غین غین غین غین غین غین غین غین غین غین غین غین غین غین غین غین غین غین غین غین غین غین غین غین غین غین غین غین غین غین غین غین غین غین غین غین غین غین غین غین غین غین غین غین غین غین غین غین غین غین غین غین غین غین غین غین غین غین غین غین غین غین غین غین غین غین غین غین غین غین غین غین غین غین غین غین غین غین غین غین غین غین غین غین غین غین غین غین غین غین غین غین غین غین غین غین غین غین غین غین غین غین غین غین غین غین غین غین غین غین غین غین غین غین غین غین غین غین غین غین غین غین غین غین غین غین غین غین غین غین غین غین غین غین غین غین غین غین غین غین غین غین غین غین غین غین غین غین غین غین غین غین غین غین غین غین غین غین غین غین غین غین غین غین غین غین غین غین غین غین غین غین غین غین غین غین غین غین غین غین غین غین غین غین غین غین غین غین غین غین غین غین غین غین غین غین غین غین غین غین غین غین غین غین غین غین غین غین غین غین غین غین غین غین 😁😁😁
2025-09-19 13:45:00
40
massking470
maaz ♥️🥰🇦🇫🇵🇸🇵🇰 :
2025-09-19 12:20:50
57
lailakhan4618
LAILAKHAN :
sary ye kharab ko 😁
2025-09-19 13:12:44
67
farhadafridi478
Farhad Afridi 478 :
pakistan ao da israile muzakirat allah de khir oki halat kharab de
2025-09-19 15:58:38
20
loyal.tora.jini
💊DaRde Ee 🙁saR 💊 :
wawa ma yare gha 😂😁
2025-09-19 09:14:04
37
ajwa.gul863
Ajwa Gul :
😁hy Allah 😂
2025-09-19 17:27:20
28
sanagull363636
sana :
hyee khudaya sam shena khu yu ze shewi de hahahahaha
2025-09-19 17:50:33
47
otp2028
OTP :
█▀█─█──█──█▀█─█─█ █▄█─█──█──█▄█─█▄█ █─█─█▄─█▄─█─█─█─█
2025-10-03 10:06:12
23
wajid12345663
wajidkha 🥰🥰🥰🌹🌹💕n :
shakila wali 😂😂😂😂 yaregy
2025-09-19 09:28:23
33
m.salar804
M.SALAR :
نہ جی 😆😆😆😉😉
2025-10-08 17:00:06
0
khan.ali1358
Khan 🥷🦅پر باش :
nananananananananna😂🤣
2025-10-07 23:17:41
0
romeo_khan302
(𝑰𝑻𝑿🫠𝑹𝑶𝑴𝑬𝑶) :
دہ بگی سم دہ غین کشرے رور دے😂
2025-10-07 15:00:26
0
osamautk03
Osama utk 🇧🇫 804 🇧🇫✌️ :
🫶:غریبی ڈیر خراب شی دے نن می دہ نیٹ پیکیج د پارہ چرگہ خرسہ کڑہ,😁😞
2025-10-07 16:31:26
0
user0377787133
ASIF KHAN :
شکیل صاحب گیر دہ۔۔😂😂
2025-10-06 08:27:57
1
shadab.khan816
Shadab Khan :
😂😂😂😂😂Mara Shakila😂
2025-09-21 20:12:44
10
farooq_durrani
🔥𝓕𝓪𝓻𝓸𝓸𝓺❦➳Mafia :
20کالہ اوشو چی اولاد مے نیشتا دعا کوی چہ خدائ خزا راکی🙃😝
2025-09-19 16:42:37
23
muhammad....jii....87
باباجی اٹک :
hahahahaha
2025-10-03 19:40:35
1
emomalik60
🥰 zidiimalik61❤️ :
hahahahhaha us warta teng sha😂
2025-10-06 10:23:29
2
0koko11
KHAN50 :
🤪🤪🤪ولاڑسہ ولاڑسہ ماینہ بہ می نہ راغی 🤪🥰🥰
2025-10-04 11:23:32
1
dr.pathan2.0
Dr💥🇵 🇦 🇹 🇭 🇦  🇳💥💌 :
pa spingo dodaye khuree
2025-10-03 16:50:00
2
shahidgul82
🦅𝐒𝐡𝐚𝐡𝐢𝐝𝐆𝐮𝐥💫 :
10zareeey😂😂😂🤣🤣
2025-09-19 17:30:15
2
hamzajan12071
Hamzajan120 :
😂😂😂
2025-09-19 15:37:46
14
aqibahmad.k.p.k7
Aqibahmad.k.p.k :
2025-10-07 15:12:50
0
To see more videos from user @pashtocomedy4, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos

Miezi miwili tu baada ya ndoa yangu, nilijikuta nimeingia katika uhusiano wa kimapenzi na rafiki wa mume wangu. Mume wangu alikuwa mtu wa upendo mkubwa, alinijali kwa kila hali na hakuacha kunihudumia kwa lolote. Lakini kwa namna alivyokuwa anazungumza nami kwa upole kupita kiasi, nilianza kumuona kama mtu mjinga 😔. Alikuwa hana sauti ya mamlaka kabisa. Badala ya kusema hapendi jambo fulani kwa msimamo, yeye angesema kwa upole, “Unaonaje tukiacha hili?” kana kwamba ananiomba ruhusa 😟. Kwa kweli hilo lilinichosha. Alikubaliana na kila kitu nilichosema, hata kama kilikuwa hakina maana yoyote. Nikisema nataka kutoka na marafiki zangu, hata bila kuniuliza tunaenda wapi wala ni kina nani, alikuwa anasema “sawa tu” 😐. Kutokana na hilo, nikaanza kutoka kimapenzi na rafiki yake. Na sikuficha kabisa  nilikuwa wazi mno hadi mume wangu mwenyewe alikuja kugundua 😶. Wakati huo nilikuwa mjamzito wa mtoto wetu wa kwanza. Rafiki yake alikuwa na wasiwasi sana, lakini nilikuwa namdharau na kumwambia, “Huyo hawezi kunigusa chochote.” 😒 Lakini hakujua hadi baadaye, baada ya kujifungua mtoto wa pili. Mtoto alikuwa na mwezi mmoja tu na nilijifungua kwa upasuaji (operesheni). Siku moja, rafiki yake alinipigia na kuniomba nimtumie picha za tumbo langu lililojeruhiwa. Nilipomtumia, sikujua mume wangu angeziona pia. Sikufuta ujumbe wowote 📸. Alipogundua, alimfuata rafiki yake na kumuomba aniache. Niliona kama amenidhalilisha 😤, nikaamua kulipa kisasi. Nilimvizia usiku akiwa amelala, nikampiga video ya maumbile yake ya siri, nikamtumia yule mchepuko wangu tukaanza kumcheka. Nilimwambia: “Huyu ana kibamia, bado anajiona anaweza kunichunga?” 🤦🏽‍♀️😂 Japokuwa hakuwa mdogo kihivyo, lakini kwa kumlinganisha na rafiki yake, niliona kama ni wa kawaida sana. Kilichonisikitisha ni kuwa rafiki yake alikuwa na mpenzi wake wa kike, naye aliiona ile video 😳. Kwa hasira, akaisambaza ili anidhalilishe. Sijui kama ilimfikia mume wangu, lakini siku hiyo alirudi nyumbani akiwa kama amechanganyikiwa. Hakuniambia neno lolote  alilia tu 😢. Kesho yake hakwenda kazini. Alikaa ndani tu akiwa na mawazo mengi. Mimi nilichukulia poa 😒. Niliendelea kucheka na mchepuko wangu, nikimwambia kwa sauti: “Si nilikwambia huyu mjinga hawezi kuniambia chochote?” Nilikuwa na hakika kaona ile video, maana rafiki yangu alinitumia nakala akisema: “Mume wako ametukanwa mtandaoni.” Kwa wiki mbili alikaa ndani, hajitokezi hata kidogo. Bosi wake alinipigia kuniuliza anaendeleaje, maana hakuwa anapokea simu 😢. Ndipo nikaanza kupata hofu. Awali niliona kama mzaha, lakini siku zilivyopita nikaanza kuingiwa na mashaka makubwa 😞. Siku moja asubuhi niliamka nikakuta ujumbe:
Miezi miwili tu baada ya ndoa yangu, nilijikuta nimeingia katika uhusiano wa kimapenzi na rafiki wa mume wangu. Mume wangu alikuwa mtu wa upendo mkubwa, alinijali kwa kila hali na hakuacha kunihudumia kwa lolote. Lakini kwa namna alivyokuwa anazungumza nami kwa upole kupita kiasi, nilianza kumuona kama mtu mjinga 😔. Alikuwa hana sauti ya mamlaka kabisa. Badala ya kusema hapendi jambo fulani kwa msimamo, yeye angesema kwa upole, “Unaonaje tukiacha hili?” kana kwamba ananiomba ruhusa 😟. Kwa kweli hilo lilinichosha. Alikubaliana na kila kitu nilichosema, hata kama kilikuwa hakina maana yoyote. Nikisema nataka kutoka na marafiki zangu, hata bila kuniuliza tunaenda wapi wala ni kina nani, alikuwa anasema “sawa tu” 😐. Kutokana na hilo, nikaanza kutoka kimapenzi na rafiki yake. Na sikuficha kabisa nilikuwa wazi mno hadi mume wangu mwenyewe alikuja kugundua 😶. Wakati huo nilikuwa mjamzito wa mtoto wetu wa kwanza. Rafiki yake alikuwa na wasiwasi sana, lakini nilikuwa namdharau na kumwambia, “Huyo hawezi kunigusa chochote.” 😒 Lakini hakujua hadi baadaye, baada ya kujifungua mtoto wa pili. Mtoto alikuwa na mwezi mmoja tu na nilijifungua kwa upasuaji (operesheni). Siku moja, rafiki yake alinipigia na kuniomba nimtumie picha za tumbo langu lililojeruhiwa. Nilipomtumia, sikujua mume wangu angeziona pia. Sikufuta ujumbe wowote 📸. Alipogundua, alimfuata rafiki yake na kumuomba aniache. Niliona kama amenidhalilisha 😤, nikaamua kulipa kisasi. Nilimvizia usiku akiwa amelala, nikampiga video ya maumbile yake ya siri, nikamtumia yule mchepuko wangu tukaanza kumcheka. Nilimwambia: “Huyu ana kibamia, bado anajiona anaweza kunichunga?” 🤦🏽‍♀️😂 Japokuwa hakuwa mdogo kihivyo, lakini kwa kumlinganisha na rafiki yake, niliona kama ni wa kawaida sana. Kilichonisikitisha ni kuwa rafiki yake alikuwa na mpenzi wake wa kike, naye aliiona ile video 😳. Kwa hasira, akaisambaza ili anidhalilishe. Sijui kama ilimfikia mume wangu, lakini siku hiyo alirudi nyumbani akiwa kama amechanganyikiwa. Hakuniambia neno lolote alilia tu 😢. Kesho yake hakwenda kazini. Alikaa ndani tu akiwa na mawazo mengi. Mimi nilichukulia poa 😒. Niliendelea kucheka na mchepuko wangu, nikimwambia kwa sauti: “Si nilikwambia huyu mjinga hawezi kuniambia chochote?” Nilikuwa na hakika kaona ile video, maana rafiki yangu alinitumia nakala akisema: “Mume wako ametukanwa mtandaoni.” Kwa wiki mbili alikaa ndani, hajitokezi hata kidogo. Bosi wake alinipigia kuniuliza anaendeleaje, maana hakuwa anapokea simu 😢. Ndipo nikaanza kupata hofu. Awali niliona kama mzaha, lakini siku zilivyopita nikaanza kuingiwa na mashaka makubwa 😞. Siku moja asubuhi niliamka nikakuta ujumbe: "Nisaidie kulea watoto wetu, siwezi tena kuishi na wewe." 💔 Nilijua kakasirika tu, labda kaenda kwao. Nikampigia kaka yake jioni akaniambia hajamuona kabisa, na simu yake haipatikani! 😧 Tangu mwaka 2017, mume wangu alienda na hakuwahi kurudi. Aliiacha kazi yake nzuri serikalini, hakuaga mtu yeyote. Tuliangaika kumtafuta kila njia, bila mafanikio. Nikaamua kuwaambia ndugu zake kwamba labda kaenda kwa mwanamke mwingine na kuitelekeza familia 😔. Lakini mapema mwaka huu, karibu miaka 7 baadaye, nilipokea simu kutoka kwa mwanamke mmoja. Aliniuliza kama namfahamu fulani, nikasema ndio. Nikamuuliza yeye ni nani, akanijibu: “Huyu kaka ni mpangaji wetu. Hana simu wala chochote. Tumekuta namba yako kwenye pochi yake, ndio tukakupigia.” Nikashangaa, nikauliza mbona mmeangalia pochi yake? Akasema: “Jana alizidiwa sana tukampeleka hospitali, hakuwa na fahamu, hatukuwa na mtu wa kuwasiliana naye, tukasema tuangalie kama kuna namba yoyote ya dharura.” Aliponiambia yuko Kigoma, wakati sisi tuko Dar, nikawasiliana na ndugu zake, tukaanza safari ya kwenda kumuona. Lakini tukiwa njiani, tukapigiwa simu kuwa mume wangu amefariki dunia 😭💔. Atakae hitaji hizi simulizi yoyote ninayo post atanitumia namba yake ya whatsap nitamtumia,, Hii ni kwa wale wanaoniambia hawawezi kudanlod hizi simulizi

About