hapo ndi tunaelewa kuwa Yanga imewaajiri viongozi ambao hata wakikutana na kocha wanaweza kumshauri jambo la maana...siyo kuhamasisha mashabiki tu
2025-09-27 13:09:48
3
sharif :
angekua msemaji wenu ange anzakuchekesha ila ahemed ali mmepigwa ayse kila akiongea watu wanabak kucheka tu et semaj lakafu 🤣😂😂😂😅😅😅
2025-09-26 21:49:26
4
Malikimoh10! :
huyu ally mpira anaujua bhana mshenz huyu
2025-09-26 15:24:42
16
elly De calar :
dah jamaa anajua sana mpira aisee
2025-09-26 20:41:48
4
Uliza Kiatu..20 :
huyu jamaa akitulia vzur ni moja miongon mwa vichwa vya mpira,,,very smart
2025-09-27 19:11:32
1
SINAMDA :
hakik kaka 👍 ukweli
2025-09-26 21:01:27
4
Lameckism :
makolo kama wanataka ushindi wamchukue Ally Kamwe awe kocha wao
2025-09-26 23:28:01
5
omarmnigwe :
hiyo ndiyo tofaut ya Kamwe na Ahmed
2025-09-27 10:11:37
4
Jitihada Rashidi :
Ila Tanzania tuna vipaji vingi Sana kwenye mziki kwenye dini kwenye riadha n.k ila huyu Ali kamwe ni hazina ya nchi Tuhakikishe hiki kichwa tunakilinda
2025-09-27 06:01:06
5
@eliasadiki :
leo jamaa kaongea mpira saana👍
2025-09-27 11:32:13
5
Mtweve Silva :
hii ndio tafsiri ya afisa habari
2025-09-27 07:47:10
5
chenijr :
unajuwa kuchambua mpira nakubal
2025-09-27 07:22:03
2
Lastborn💫 :
uyu alikamwe anaweza kuja kuwa kocha wa yanga badaae huko
2025-09-27 13:27:03
2
Prince G :
Aisee hivi kuna msemaji Nchi hii anajua boli kama huyu?
2025-09-27 04:01:04
10
mr j :
uyu kichaa wetu anajua boli
2025-09-27 07:16:17
1
@Juma47 :
Good composure and good speach
2025-09-27 06:23:15
2
Sharifu Joseph :
akil kubwa sana
2025-09-27 08:38:29
1
ypscollectiondesigner :
daaaah fact💯💯💯
2025-09-29 18:28:30
0
Eddie785 :
Kamwe ukimpa ukocha Simba inapata ubingwa leten ela Makolo
2025-09-27 11:49:10
1
user4213117609626 :
kaka unajua sana mpira
2025-09-27 09:20:00
1
RONNY JM :
Uyuu jamaa akitulia anaweza kabisaa
2025-09-27 11:18:23
1
Osman bey 665🗡️🏹🇹🇿 :
unajua kak yangu
2025-09-27 05:59:44
4
To see more videos from user @alex.business.man, please go to the Tikwm
homepage.