mm kuna mwingine aliskia nikinyamba.akaniuliza kijana unataka tuanze na choo
2025-10-01 17:13:44
1191
Risnahmish Natalie🥵🦋✨ :
Nani anawatch akiwa bed tukuwe marafiki
2025-10-02 07:45:05
1284
c❣️h❣️e❣️b❣️e❣️t💃 :
guys Life without God is useless
2025-10-02 13:27:57
470
🧑🏽🍳CHEF🍽MAC🥘REMY🧑🏽🍳 :
huyu foreman ni mafi sana🤣🤣🤣ananikumbusha mwingne alikua anaitwa kamalisa siku ya kwnza site(mjengo) nilianguka na mchanga ikiwa kwa wheelbarrow akaniambia haimwagwi hapo ni pale mbele 😂😂😂😂hadi wa leo cjai heal
2025-10-01 18:15:49
286
Mamake 4💞💞 :
Nani anawatch 2 October naomba tuwe marafiki
2025-10-02 03:53:12
2744
@wanani :
Kuna mkisii ataona hii ni ukweli
2025-10-02 17:57:28
57
The_Street_Prophet :
Me niliwahi fanya mjengo hapo Westy nowadays Moven Pick, nikagongwa na Cabro nikaanza kubleed. Foreman akaniambia Kijana masaa ya painting bado 😭😭😭
2025-10-02 06:28:36
82
usermercy nonoh :
🤣🤣🤣🤣10/10
2025-10-01 12:31:04
9
Annette Okerosi :
kwani foreman hujapenda hiyo speed otieno ameshuka nayo🥰