Unabweka ukiwa nje ya nchi .. umeshajipanga na familia yako..sumu huwa haionjwi ..ungekuwa mzalendo ungekuwa Tanzania..KURA TUTAPIGA KWA RAHA ZETU TENA MAPEMAA🖐🏿✅🇹🇿
ww mutauwa wengi hebu acheni hayo wamoja wamoja tu
2025-10-02 17:55:34
1
Zubeda Mukunde :
wameshika mpini kaka yangu wao na pesa wanaprint wao sasa hapo wenzako wakipata hasira na wewe upo mbali nani atakae pigwa ngundo aache mama yake analia aache utamu na raha ya mweza wake, aache watoto, aache soda, ugali wa tembele aache dagaa kweli najua haupo bongo hata siku moja.