moloko c'est un citoyen rwandais pas congolais monsieur
2025-10-03 10:49:04
1
zilly :
sio aibu maisha yanageuka kaka muombe mungu yasigeuke kwako
2025-10-03 07:05:18
76
Jose Alyy :
Acha umbeya mtoto wakiume tukupake mafuta
2025-10-04 20:16:25
0
𝗥𝗔𝗭𝗘𝗦_𝗗𝗥𝗔𝗚𝗢𝗡🇨🇩🧢 :
we matako sio wa Congo 🇨🇩 wote ambao wana matumizi mabaya ya fedha 🙄🙄
2025-10-03 21:56:45
5
Alphonce :
nan kamwona kagere
2025-10-02 20:10:37
389
NicoMukoji :
Una uhakika alikua analipwa vizuri yanga? Au unatabiri tu?
2025-10-03 04:39:41
87
حربذىن :
mambo mengine wacha ya kupite sio ya kusema ovoooo
2025-10-03 04:29:50
3
Baby daddy :
Ningekuwa mm hata hiyo hela nisingeichukua I know who I am sipendi dharau unaweza mfata mtu kiuungwana tu kama mwana mnafahamiana mmefanya kazi pamoja mmetoka taifa moja mmeishi pamoja ukaamua kushow love bila kujali status aliyonayo kwa wema tu halafu mtu anakuchoresha hivi siamini kama moloko kafuria kiasi hicho hadi amgande mayele nachoamini kila kitu alifanya kwa love ila mambo yamembadilikia nenda insta kwenye page yake utaelewa kafuria au ilikuwa ni love
2025-10-02 21:34:34
48
John Galdollard :
wa congo wenye pesa nyingi weko wachezaji wengi
2025-10-04 19:35:55
0
Fiziano 🇨🇩🇨🇩🇨🇩 :
ume nikwaza kusema wakongo Wana matumizi mabovu ya pesa maana tabia ya kutumia pesa vibaya niya mtu binafsi
kwani wewe aujawai kuomba kitu chochote ?
2025-10-02 21:04:53
8
manizo B :
na kagele umemuona
2025-10-03 10:25:09
2
zuuhnasry :
ni suala la muda tu bado zimbwe kuja kumuomba kapombe uwanjan😂
2025-10-04 04:34:16
2
QUAV☠️☠️ :
Toa mdom wako hapo iv wew jamaa hunaga kazi had hushind unawaongelea wanaum wenzako Yan mwanaum mwenzako unasem kafulia dah hii dunia
2025-10-02 20:28:41
4
gloireupite :
Labda ni aibu kwenu nyinyi wa Tz,ila kwetu congo ni jambo ka kiugwana. Tunajuwa kusapotiana kipindi mwenzio yuko chini
2025-10-02 20:57:20
10
Jl Michael :
Awa lingala ekotaka te !???🤣🤣🤣🤣
2025-10-03 06:08:00
2
rolah 📍♥️ :
mwanaum mzim ila umbea sasa puuuuuuuuuiuu
2025-10-03 07:53:26
1
Dogo Elisha wizzy boy :
maishatu broo kunakupanda nakushuka na binaadam kawaida kusaidizana alafu mbona unadamuya kunguni kiramtu nikitazama comments zaonimatusi kwanini irausichoke
kuturetea vituvipya kutukanwa kawaida respect broo🫡🫡🫡🫡