@ramyramsey: Mgombea anaegombea udiwani kupitia Chama cha mapinduzi kata ya Makole Ndg. Omary Haji Omary ameendeleza kampeni za mtaa Kwa mtaa, nyumba Kwa nyumba akiwaelimisha wananchi umuhimu wa kujitokeza na kwenda kupiga kura ifikapo Oktoba, 29, 2025 na kuwachagua viongozi watakaoleta maendeleo Tanzania. Ndg. Omary Haji Omary alijikita zaidi kueleza yale yaliofanywa na Chama cha mapinduzi Kwa miaka mitano na kuwasisitiza wananchi kuona umuhimu wa uchaguzi na kuepukana na yale yote yanayochochea uchaguzi usifanyike na zaidi amewaomba wananchi kuwa na Imani na Chama cha mapinduzi katika kuleta maendeleo. #Ngasamedia
RAMYRAMSEY( MSHUA)
Region: TZ
Friday 03 October 2025 19:08:59 GMT
Music
Download
Comments
Yona Pambeje 🦁 :
NIKAZI SANA KUMSHAURI MTU ANAE KARIBIA KUTAPELIWA 😂
2025-10-04 07:48:04
497
Pasha :
Kuna mtu hacomment chochote anasoma tu comment za watu anyway habar za saiz mkuu
2025-10-04 12:28:05
177
aloyce :
nataman nicomment lakn bas
2025-10-06 06:17:23
0
Genuine Soul :
Kadiri upepo unavyopepea ndivyo mkundu wa kuku unavyozidi kuonekana 😅
2025-10-04 08:01:45
154
Shunuu💦🦋😘 :
😂😂si ata nyie mnaona mtu akiwa anakutongoza na akiwa ameshakupata😂😂💔
2025-10-04 11:37:12
77
mwasham :
Tutaona meng mwaka huu😂😂😂
2025-10-04 05:48:55
29
joe :
wa 15/15
2025-10-04 16:38:24
2
Rey Wa Rojah :
hata za mkewe hajawai kufua ovyoo
2025-10-04 19:26:41
0
i.d.g.f.b.u :
angepewa mashuka yaliyotumika baada ya mtombano😁
2025-10-04 12:12:20
5
Mr.plan :
Anafua huku anatukana akimaliza hapooo
2025-10-04 06:01:27
3
Dampa Classic :
Ila ukiwa unaibiwa huwezi kuamini paka uibiwe je alikuwa anafanya hivo kabla yakutaka hicho kiti yani wajinga ndo waliwao
2025-10-04 09:19:38
34
NENGA FURNITURE :
Sinema zetu😂😂😂
2025-10-03 20:38:45
25
Pablo@56 :
mpaka kampen ishe tutaona mengi
2025-10-04 07:50:54
27
Chacha :
Mngezinyea kwanza😡😡😡😡😡😡
2025-10-04 13:36:59
4
️ :
10/10nalipa
2025-10-04 11:53:58
2
Deo Shigukulu :
Kwa sisi raia wa Tz tulikosea wapi😳😳😳
2025-10-04 13:45:27
0
BONGOFLEVA :
ngoja ashike kata ndo mtajua
2025-10-04 11:18:46
4
Nevintemu :
yaan mm naona kama ujinga Kwan akishayapata hayo madalaka atafua
2025-10-04 06:29:01
7
Majiakunde :
jichanganye uone hapo ni kura tu baada ya hapo urafki unaisha
2025-10-04 04:08:52
8
adoulable girl :
Aje na kwangu Adeki chooo
2025-10-04 07:51:46
23
kjk mtt w masharubu :
saivi yupo tayar kufanya chochote akipata tu anahama hammuoni tena
2025-10-04 03:08:16
9
Mame🤎 :
Hizi mbwembwe jmn 😂😂 bc tu vitu vingin vinachekesh san
2025-10-04 16:13:26
5
Lee :
wakishapata uongoz mnaanza kuwachungulia kwenye tinted😂
2025-10-04 15:13:33
1
0622226968 :
ndo mnavowadanganya ngoja apate hayo madaraka mtafurah
2025-10-04 07:11:54
1
Mamasamia Suluu Wamanzese :
kwaiyo mtachaguwa viongozi madobi
2025-10-04 07:38:38
8
To see more videos from user @ramyramsey, please go to the Tikwm
homepage.
© 2021-2025 TikWM. All rights reserved.