@_tanzaniahistory: Dr Ulimboka, 2012 Aliongoza mgomo wa Madaktari nchi nzima waongezwe mshahara kutoka 950k hadi 3.5m. Aliitwa chemba apozwe asitishe mgomo, akagoma. June 27, 2012 akiwa Leaders Club akatekwa, June 28 akaokotwa msitu wa Mabwepande akiwa hana baadhi ya meno na kucha. #tanzaniahistory #kumbukizi

Tanzania history
Tanzania history
Open In TikTok:
Region: TZ
Friday 03 October 2025 20:47:49 GMT
259319
4770
287
438

Music

Download

Comments

sulvantor
SULVANTOR :
Mtu yupo mahututi lkn kingereza hakiachi wasomi bhn😂😂😂
2025-10-08 18:51:50
2
kodiboy.tz
Kodiboy Tz :
uyo mpumbavu angekufa kabisa wagonjwa wamekufa sana sababu yake
2025-10-04 17:21:51
10
ms_maganga07
Husy collection :
kheeee watu wanapiga jamn kheeee 🙌
2025-10-07 20:15:06
3
user5153706079095
naima seif :
kikwete ndio kazi yake kubwa, tekaji la taifa. Pablo Escobar
2025-10-04 09:34:47
243
lovelyvan6
@lovenes Ivan🇹🇿 :
Kwan Tz akunaga sniper eeh
2025-10-05 20:22:20
8
karistoretz
karistoretz :
Namuaza polepole 🥺
2025-10-06 11:41:42
19
a.majid001
Majid Jr :
sasa jikute mwanba tarehe 29 ujifanye unajua😂😂😂, yatakukuta haya haya
2025-10-08 08:07:24
2
smartbo953
smart boy 🤪🚘 :
kwa hichi kipigo sijui km tareh 29 au basi
2025-10-07 05:07:08
3
mwasu_nahoda
Official_Mediator :
mama samia mi5 tena, oktoba tunatiki mama samia oyeee.........
2025-10-04 11:23:09
4
vickiebedsheet
finegirl :
Alitolewa meno bila ganzi na koreo hee kikwete uyo 😌
2025-10-07 11:01:31
1
nyanjo5
nyanjo :
pole sana mungu akuponye halaka ili uendelee majukumu ya kifamilia
2025-10-06 12:00:57
4
first_bon2
CONQUISTADOR :
Dah..inasikitisha sana..mtu unamfanya mwenzio hivi kweli..kisa nin
2025-10-03 22:52:26
35
user6235688748146
Petro Godrey :
Kikwete mhuni tu kama wahuni wengine
2025-10-03 21:10:42
102
hajiussi845
CAMANDA :
mwanaume kapitia magumu huyu alipoachiwa kahamia South Afrika hadi sasa
2025-10-04 13:08:24
73
smiley_clothing
Smile_yclothing🌻 :
ndo daktari alipwe 950k😂😂
2025-10-04 09:24:49
8
husseinbakar981
Husseinbakar891 :
29/10/2025 tukaondoe haya
2025-10-04 09:24:11
11
dplans2
Abdallah Mtawa :
licha ya kipigo lakin aachi kuongea kingereza
2025-10-08 21:19:37
0
awenahmmbaga
Awenah Mmbaga :
yan tukio hili lilitikisa sana kipindi hicho ila alipata maumivu meno yanauma jamaniii
2025-10-08 21:27:10
0
mserekali.m1
mserekali m1 🥇🇹🇿 :
kwan mpaka leo mzma?
2025-10-04 05:22:05
4
mus_linuck
Wambura 77777TZ£%_## :
Dah😳.. siku ya birthday msisahau kupaka Amira kwenye marungu
2025-10-07 10:23:44
2
cutelizy_45
Cutelizy45❤️ :
Una moyo Bado unaongea😅 Ila aisee🥺
2025-10-08 12:16:54
2
user1081930308398
user1081930308398 :
kwn meno wameyatoa auu
2025-10-08 23:19:52
0
beduiwabeduan
bedui :
Wagonjwa wengi walifariki sabab ya mgomo wa madaktar
2025-10-06 09:10:08
3
abeshbaby
Queen Sheba Abesh :
kihelehele kinawaponza wataka vyote siasa doctor uroho wa madalaka sio mzuri tulieni poo alikuwa nakazi nzuri balozi wa quba ajalizika sasa kimemlamba lizika na ulichonacho na mshukulu mungu wengine atuna ata kitu tumejikalia tu mnaacha familia zenu kwa uroho wa madalaka tulieni
2025-10-08 00:21:27
0
its___pearl4
PEARL 🎀 :
Hivi alipona?
2025-10-04 10:32:51
8
To see more videos from user @_tanzaniahistory, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About