@richy_bees24: #fyppppppppppppppppppppppp #tanzaniantiktok🇹🇿 #trendingvideo #viraltiktok #fyp

richy_bees24
richy_bees24
Open In TikTok:
Region: GB
Saturday 04 October 2025 13:39:32 GMT
330237
8696
524
435

Music

Download

Comments

am_baboon
Mr Sokwe :
hapa niliibiwa simu na wallet, sijakaa sawa nasikia tena naguswaguswa mapumbu...., sitasahau
2025-10-11 09:05:34
297
chooseon907
choose one :
maji yanayopikia chakula mnajua yanatoka wapi kwanza biashara za watu zinasiri kubwa sana
2025-10-14 07:54:41
1
zainabmohamed339
zainabmohamed5035 :
ni mtaa gani
2025-10-14 15:01:42
0
oscar.jojo
oscar.jojo :
Unakula unalamba hadi vidole sema wali wake unajaza tumbo gesi🤣🤣
2025-10-11 10:59:26
5
user4345798732330
zahr🥰 :
Matusi sasa alaf kesho unalud pale pale🤣🤣🤣🤣🤣
2025-10-09 09:27:55
283
swaxbeipoa
Puzzohwrld🌍 :
Ukila siku moja tu bas mteja 🤣🤣🙌🏼💔
2025-10-11 10:03:09
20
tausabdallah0
tausabdallah0 :
hapna hajashindikn
2025-10-14 13:33:01
1
janethmassawe3
jomteam :
aseee me niliuliza chakula shingp akasema hamna
2025-10-11 09:25:59
8
eliasndauka
Elias Ndauka :
simu yangu jmn namatusi juu chaajabu kesho nikaludi tena kumanina
2025-10-13 08:28:58
0
edither19
edither :
apo unatakiwa unakula simu ipo kwenye sahani unaiona ukiiweka mfukoni umeisha 😂😂😂
2025-10-10 11:09:27
32
msinzia
R10 :
ila huyu akitiwa mikwaju atasems chiini hapo kafukia nini
2025-10-11 15:42:50
7
pablo_de_matie
pablo_de_matie :
October 29 wengine tuvae sare za police wengine za ccm, tuichangane serikari.😁😁😁 Tupigwe wote
2025-10-13 11:44:24
4
moses.dk20
Moses Dk :
asipokutukana msosi hauwi mtamu
2025-10-09 11:15:14
114
am__nyamka
MR nyamka :
wee pika tu chakula kizuri hamna uchawi hapo hata hao wanao nunua nao wako vzuriii
2025-10-09 15:05:12
108
fdhl5499
fdhl :
hapo unanunua chakula unapewa na matusi kama nyongeza kesho unapanga foleni tena🤣🤣🤣
2025-10-13 07:27:34
1
user7552petro
PETRO K BUSUMBA. TZ. 🚴🚴🚴 :
😂😂😂😂najua hapo huwezi elewa ila anachotumia ukiambiwa huwezi elewa
2025-10-10 10:16:09
2
vanilla_827
FIygirl💕 :
Rost linavutia hatari sio uchawi analijulia jiko👌
2025-10-10 20:22:39
31
big_rhyno18
rhyno_ :
Usipo kula apo aujakaa kkoo ww
2025-10-07 18:32:43
4
vidaljr35
vidaljr35 :
risiti hatoi TRA sijui wanakwam wapi
2025-10-10 07:54:35
0
brandinapoul
Brandina poul :
Yani mimi sehemu ikiwa na wateja kupindukia hinilishi kabisaaaa natafutaga migahawa ambayo haijachangamka maana wafanyabiashara wengi saivi wamevulugwa hawakawii kutulisha wenzao damu zao😂😂😂
2025-10-11 09:29:54
4
queenofheaven268
Millen mimah🫶🏻🫶🏻❤️‍🔥 :
Helaa anayoingiz ap n balaa
2025-10-11 19:54:46
3
its.dory1
it's dory :
😂😂😂😂nilipita inability niulize ni bure ama maana sio kwa scramble for portion huko
2025-10-11 10:28:52
9
verianmgomi
Verianmgomi :
Mama anauza mpaka basi nilitamani niwe mimi duuu
2025-10-14 14:06:59
1
user7802169188449
[email protected] :
ana watu hata mimi nilishamuona sijui chakula chake anauzia dawa nini si kwa watu hao mpaka wanagombania kama wanapewa bure
2025-10-09 11:19:17
8
navory196
navory19 :
mama manyemaaa na vitamu balaa mwendo wa nazi tu🥰
2025-10-11 14:40:17
0
To see more videos from user @richy_bees24, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About