@abdulhafidh575:

Abdul Hafidh
Abdul Hafidh
Open In TikTok:
Region: TZ
Monday 06 October 2025 11:58:30 GMT
101453
3452
271
696

Music

Download

Comments

rashidkombo976
Rashid :
sheikh mm siumwi lakini nawaona majini tangu mdogo mpaka leo je nifanyeje
2025-10-06 16:02:11
1
samiykim16
Mia Bebe🥰 :
Me nimekupenda shekhe umeowa🥰🥰🤭
2025-10-07 12:28:38
10
minah_cutetz
⃣MINAH🌹 :
Kwaio wenye jad tufanyaje
2025-11-06 21:06:18
0
abahclean
Official_Sharukhanbubu :
shekh umefafanua vizur ila bado kuna codes hujazifungua huyu jadi au hii jadi hawa wazee wetu walizitoa wapi au kilianza nn hasa hadi wazee wakawa wana hivi viumbe ? I mean vilitokea wapi hadi iwe kila watu wawe na hyo jadi
2025-10-06 13:29:36
19
abui204
abui mbilizi :
Sasa umesema usupo muezi ata kusumbua na ukimuenzi ni dhambi sasa tufanye nini na yeye anauwezo mkubwa
2025-10-29 05:33:37
0
tuma.boutique
🦋TUMA BOUTIQUE🦋 :
Nikweli brother Umeongea point kabisaa jadi inasumbua sana
2025-11-03 20:17:05
0
user910865006368
user910865006368 :
Hakuna Jin yyte anaekaa mwilini alokua hana madhara. Jin ameumbwa kuabudu na sio kukaa kwenye miili ya watu. Anapofikia kukaa kwenye mwili hua kishakua shaitwani na shaitwani kazi yake kubwa ni kuleta madhara. Kwahio awe Ruhani awe makata, mahaba, Bahri yyte Yule wkt anakaa kwenye mwili wa mtu ni shaitwani na analeta madhara kwako.
2025-10-07 21:02:38
4
mariam.ruun82
mariam ruun :
jadi means what??
2025-10-08 14:15:23
0
babayassir32
user512170530932 :
tunamtoaje huyu jini wajad na kutupa mikoba
2025-10-07 21:40:57
1
user6704512908153
يوسف :
Kuna code flani hujazijua..Nikulize swali kuhusu ruhani je anapanda au hapandi?Tuanze hapo...
2025-10-07 11:10:46
0
salhah437
Salhah :
Tiba yake.nn
2025-10-14 12:06:23
0
magreth.mrosso2
Magreth Mrosso :
Amen
2025-11-03 15:38:33
0
kitwana16
kitwana :
sasa ostaz unaweza kuwa na jini wa jadi na ruhan kwa pamoja
2025-10-07 11:08:42
1
ummysaheer
Ummy 3boys :
Je tiba yake kuu niipi kwa mwenye jadi ili asisumbuliwe na iyo jadi tena
2025-10-07 20:11:01
0
zanlife.tours
Zanlife Tours :
dah 😩😩😩 family yng tuna teketa na hujui hta tuanzie wpi jadi una tutesa san
2025-10-06 16:54:20
0
gladysnjeri801
Njerai :
na je mm na familia yangu naeza jitenganisha vipi na huyo wa jadi maana babangu anamuenzi ...japo siishi hapo lakini wanna wanasumbuka na maradhi
2025-10-06 12:27:22
1
bintingau
fettymalingo :
JAMANI NAYAPITIA HAYO HATA SIJUI NISEMEJE KUHUSU IZO TAFARUKU
2025-10-06 13:23:07
4
user84170754319661
Mrs nyange tz 💯❤️ :
shekh nakupenda kwaajil ya Allah umenifanya mpaka nimekufollow🥰
2025-10-17 13:09:53
3
shkhmautamu
Shkhmautamu@# :
mja asalaam alehykum mke wangu anafatwa na njiwa mweupe kwenye biashara yake lkn inavyoonekana hakuna mtu anamuona zaidi yake yani juzi alitua juu ya deli akafunua mfuniko kumtolea mteja kitu njiwa ajakimbia na mteja ajauliza kuhusu njiwa je hii ni nini
2025-10-06 18:28:00
0
baba.wa.imaan
Nyota ya kheri🌟 :
Masha Allah, Mungu azidi kukupa umri mrefu sheikh.
2025-10-07 05:35:07
6
266mimi
mimi" :
kwa bibi yangu kuna kinyamkela
2025-10-06 15:23:38
1
eptisamibrahim
Rahesam🦋 :
Point
2025-10-18 12:23:32
1
antoniaandrea7
antoniamatingisa :
Asante shekh umenigisa sana
2025-10-06 13:12:30
1
zahrayahya125
Zahra :
Allah azidi kukuongoza katika mafunzo mema
2025-10-15 14:49:15
1
halima43632
Halima :
Mashaallah akhy shukran kwa elimu 🥰
2025-10-06 12:15:07
2
To see more videos from user @abdulhafidh575, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About