@ufr_tz: Magari mawili aina ya Toyota Land Cruiser V8 na Toyota Carina yamegongana asubuhi ya leo, Oktoba 6, 2025, katika barabara ya Sonda, na kusababisha uharibifu mkubwa wa magari hayo bila kusababisha vifo, kwa mujibu wa mashuhuda wa tukio hilo. #ajali #tabora #ufr #radioyetusautiyetu #uyuifmradio

Uyui FM Radio
Uyui FM Radio
Open In TikTok:
Region: TZ
Monday 06 October 2025 17:28:10 GMT
668927
14015
1260
843

Music

Download

Comments

traveller_45
Jimmy Traveler :
V8 inafichwa plate number carina inaachwa wazi plate number 😂😂😂
2025-10-06 19:01:36
502
juma.abdalah90
Juma Abdalah :
V8 SIO JINA LA GARI NI PISTON 8 AMBAZO KWENYE INJIN ZIMEKA KAMA (V) NDIO MAAN TUNAITA V8 YAAN PISTON 8 JINA NI LAND CRUISER NJOENI TENA MNIKOSOE
2025-10-06 20:37:56
191
_traveler47
Maxwel Davis :
Unaweza kuwa dereva wa miaka hata 20 lakini bado ukawa hujui kuwa hakuna sheria inayomtaka mtu akisababisha ajali alipe pesa kwaajili ya kutengeneza gari aliyoisababishia ajali,narudia tena hakuna sheria ya kulipwa ukisababishiwa ajali piga ua galagaza hiyo sheria huipati wewe mwambie tuu twende mahakani nikakulipe😂😂mkifika kule muulize nakulipa kwa sheria gani😂
2025-10-08 11:02:20
11
eliudogalo
eliudogalo (ja naam). :
mbona kama kalewa uyu
2025-10-06 18:53:10
257
king_j_magari
KIng_j_magari :
Toyota Carina katoka barabara za mtaani na Toyota landcruiser yupo barabara kuu ni nani anatakiwa kuwa muangalifu kulingana na anapotoka kwa sheria zetu za Tanzania pia kila dereva anatakiwa kuendesha udereva wa kujihami tuzingatie so wataalamu najua mpo hapa naomba mawazo yenu?!
2025-10-07 10:57:42
17
aries_21st_march
Aries 21st March. :
huyu jamaa amelewa na huwezi kumiliki LC ukakosa insurance ya kukulipa , au amekodi mbona hafanani nayo 🤣🤣🤣
2025-10-07 04:16:31
5
cutebabra7
Babra🥰🌊 :
Diamond nae shahid🤣
2025-10-06 19:37:26
37
prince_juicebar
P R I N C E 🥤 :
Huyu naseeb mnamuelewa lakini.....??????
2025-10-07 07:12:15
16
emmanueledson720
imah jr :
uyo mwenyew kalewa apimwe ulevi na yy
2025-10-12 12:22:46
0
nyaness4
Mrs No Name🌸🔞 :
Uyo shahid wa pili anaongea nin 😒
2025-10-06 19:43:19
28
user8156114797940
user8156114797940 :
Mwenye carina inatakiwa akimbie mashuhuda wa ajali hiyo wakimbie na watazamaji wakimbie 🏌
2025-10-07 17:25:47
1
pinalinah
It’s me pinange🌹🦋 :
Kam nilaserikal watatengenezea ela zet wanaz chukua bwan
2025-10-07 03:42:15
4
crazy..mdau
🇯🇲 :
bona kama kalewa 😂
2025-10-06 19:36:32
5
zitto_2
zitto_2 :
Taa tu 1.7million
2025-10-07 06:51:13
0
serhaworld1997
Serhafinah malecela :
😂😂😂Walivosemaaa carinaaa nataman ex wangu ndo angekuaaa anadaiwaaa v8😂😂
2025-10-06 19:39:25
1
calvin_357
calvin_357 :
Braza mbona kama amepiga vyombo
2025-10-06 18:55:43
11
jofrey_graphics
MORVA (jofrey) :
kwan huyu gari yake ni ipi kati ya hizi
2025-10-06 18:59:39
62
hoty_hans13
Hoty_hans☑️ :
V8 ndo gari gani ndugu muandishi?? 😳
2025-10-07 07:46:27
2
iam_p02
iam_p02 :
jamaaa kalewa huyooo so yy ndio anamakosa
2025-10-07 06:24:21
0
nanah9901
Miss Naah🤍🦋 :
chakutembelea kimegoga gari😁😁
2025-10-06 20:47:32
6
hency6837
hency :
kwani gari kali hapo ni ipi maana mii nasikia tu jina la mtu carina
2025-10-07 16:09:40
4
priceikambajr1
Mc Lameck Simbo :
Carina vs V8.(carina vs land cruser vxr)
2025-10-07 02:55:01
3
adam5678984
Adam :
ndio pale unanunua gari bei ila kulihudumia ndio huwezi
2025-10-12 11:09:29
1
omary3694
Omary :
mbona hiyo V8 hamuoneshi plate namba? wakati Carina mnaionesha plate namba
2025-10-07 09:56:07
2
genuine_istore
Genuine_iphonestore :
Kwann V8 imefichwa namba Alfu carina haijafichwa??😳
2025-10-07 05:27:16
30
To see more videos from user @ufr_tz, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About