@mamazamzam8: Replying to @user8458193995524 #tiktokspiritual

zamzam⭐🌙 rehema🌄🌿
zamzam⭐🌙 rehema🌄🌿
Open In TikTok:
Region: QA
Wednesday 08 October 2025 10:30:34 GMT
133868
4050
235
348

Music

Download

Comments

amour2541
Humble gal 🧘🧘 :
Mimi shida ni wanaume wote napatana nao hawana lolote like Mimi napatana na wanaume maskini 😞😞
2025-10-08 19:07:04
22
0156380lady
An Introvert gal :
mimi naye pia hivo ila ni mimi nawaacha bila sababu🤣
2025-10-08 14:57:11
26
adidoh
nancer :
Mimi nikiachana na mwanaume lazima atanitafuta Tena ata kaa ni miaka ngapi, Niko na pepo au shida ni Nini?
2025-10-09 19:17:51
5
user4901149432092
Destiny Eve💞💞 :
Akh plz mnisaidie mboo n nn🤣🤣🤣🤣
2025-10-20 20:08:55
0
bintiebint5
N@jm@ :
Mahusiano yangu yakikaa sana labda wiki moja😂
2025-10-09 07:11:19
19
user5466061598359
Nirvan shan :
me napatanga tew mtu ananichocha vile atanioa then ananiacha bila sababu Hadi nimechoka Acha tew nikae maisha yangu
2025-10-09 11:09:40
2
mahuko30
Lydie :
unasema mubaya sana akuna tajiri apa duninyani
2025-10-18 23:28:03
0
vky2548
vky254 :
mimi ilifanya niliacha kudate
2025-10-09 18:23:51
11
amina.amino.rashi
My Love 💝😍😘 :
mama ni saidiye kila nikiingiya kwene mahusiyano ina ishaga bila sababu sijuwi kwa nini 😂😂
2025-10-09 07:05:36
2
luhyafinest48
Queen of heart :
mimi miezi mbili nmeachwa🤣🤣
2025-10-18 13:59:49
0
user010020067
Tamarah 🦋💙🧡 :
me too kwanza Kuna ingine iliisha juzi after tumedate week moja 😂😂😂😒
2025-10-09 12:10:34
0
zeybeb001
zeybeb001 :
rizki haijasimama dada tulia tuko wengi sana tupo na shida hizo hebu amka usiku swali atakuja wa kheri na ww
2025-10-20 06:54:02
0
labrosette
Gisele J' Dor :
shukran sana
2025-10-26 20:31:22
0
farida.maya60
Farida maya :
Mimi shinda Niko nayo wanaume wanakuja wengi sana Hadi nachanganyikiwa sijui nichukuwe nani niwache nani njee hiyo ni yota au ni nini
2025-10-08 18:52:12
1
kira254user
Chocolate 🍫 goddess 🫦 :
Mimi huwa naachwa Tu my relationship never last
2025-10-18 09:40:27
1
user108475885142
0752700400 :
mimi napata wamaume wakuomba pesa kushida viwete 😢
2025-10-10 18:54:01
0
dorothynaya
Manchester United 🥰🥰🥰 :
hii shinda iko kwawengi ..mm nae napata mtu ako nauwezo wakunisaidia but haezi kunipatia zaidi ya 1k ..1k ndio mwisho hadi nachoka ..nikipata wakunipenda niwamjengo shida tupu
2025-10-12 08:45:44
0
mahenzo.katore
Mahenzo Katore :
thongeee ni nini mama
2025-10-12 20:52:12
0
lydialivah
lydia livah :
mimi pia haitumu Hadi nmechoka sasa
2025-10-11 04:03:15
0
fredke468
Lusaka Doŕŕy :
ati mm
2025-10-23 12:14:52
0
yasminyusuf18
Prettyyasmin :
mimi nina ruhani sasa hao nliwaacha sio wema yule alikubaliwa naye alinisaliti nkamuachilia mbali
2025-10-09 09:01:58
0
mche.mtsumi
Mche Mtsumi :
alafu Kuna mm ata sipendi kabisaa nasinywa tu
2025-10-10 20:06:38
0
user53825111800707
ma pasy :
tuko wengi sana
2025-10-09 06:27:35
0
To see more videos from user @mamazamzam8, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About