@mrfacta279: ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ #funfacts #fyp #VichekeshoVyaBongo #TiktokTanzaniai

Mr.Facta279
Mr.Facta279
Open In TikTok:
Region: TZ
Thursday 09 October 2025 16:37:27 GMT
123604
5208
646
383

Music

Download

Comments

baranda2
Baranda :
hao jamaa miyeyusho sana usajili tu 10000 wangefanya 1000 nayo tutalipa kwa mihula minne kila muhula 250 nadhani baada ya miaka 4 tutakuwa tumemaliz
2025-10-10 09:56:45
132
alliiy
Fede15โšฝ๏ธ :
Usajili tu ni sawa na gharama za kuendesha chama kwa miaka 10๐Ÿค”
2025-10-11 18:31:24
18
capt4697
#CAPTAINยฐ6 :
uchenga tu ๐Ÿ˜…
2025-10-11 20:47:34
0
ausonaudax133
Auson Audax :
Iki chama kimeingiliwa na madalali tiyari ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ imefikeje 10,000 ???
2025-11-07 04:43:31
6
www.tiktok.comhashim8
๐ŸHashim๐Ÿ‚๐Ÿ‚ :
halafu wanangu upite mchango tupige plasta MAKAO makuu๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
2025-10-11 07:03:16
21
alberthkanigo
Albert :
Kuna mchongo tunausikilizia
2025-10-10 11:27:10
3
roiscorp
ROISCORP :
usiseme shilingi 10,000 sema kitita cha shilingi elfu kumi ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜…๐Ÿคฃ
2025-10-10 18:28:23
8
www.twww.ticktock.abel
Abel :
mimi nimetembea kwa Miguu kutoka Usagara hadi Kirumba na nauli ni 1k na hapo nina laki 3 cash sitaki kutumia hela vibaya mimi
2025-10-11 01:35:34
5
mwangosi_empire26
Son Mwangosi Jr :
me nimepata wazo zur kwa ajili ya chama kwann tuctumie Artificially intelligence (AI) kusajili ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
2025-10-10 18:05:59
3
molleljr26
Jeff_Kisila_Mollel๐Ÿ‘‘ :
Wapunguze ifike 150 iyo nyingine tutalipa kidogo kidogo
2025-10-10 10:12:45
1
cubfear.1
CUBFEAR :
duh kwakweli icho ata uongozi sitaki๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
2025-10-09 20:45:55
2
novadrift_12
PENITENT THIEF :
KWANI KWENY MFUKO WA CHAMA ILIBAKIAGA SHINGAPI
2025-10-11 13:28:51
2
chandey63
JONALYSMโœ๏ธ :
juu nilisema kila mwana chama atachangia shiling moja kwa kila kikao lakin mpaka sasa daftaro alino ata jina mwana chama mmoja ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ™Œ
2025-10-11 13:18:04
2
ibraah_mwanyello
Ibraah mwanyello :
Nilisema kwenye hyo 10k nitachangia 100 tuwatafute wengine 99 wakuchangia imeshindikana๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
2025-10-11 05:45:45
12
kulwakiseo1
kulwa Kiseo :
Enhe mi ndo sina hata mia apa kama vipi twende wote kwa pamoja kama chama tukachukue za kikoba ili tudaiwage wote ๐Ÿ˜
2025-10-09 22:15:10
2
letisiadaniel
Letisia Daniel :
wameshidwa kuchangia jamanii ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
2025-10-10 19:00:22
2
freynetwork
Freynetwork :
wakuu mm ntailipia hiyo yote kesho asubuhi
2025-10-13 13:04:54
0
rabonbegumisadogo
Rabon begumisa Dogo :
mie ntatoa kitita cha shilingi 50 ntatoa mara mbili
2025-10-11 17:19:39
1
wwwkittajr
kitta jr :
ela ndefu sana hyo bora ingekuwa 500 tungejitahid
2025-10-13 11:27:48
0
kajalakrdrhl
Kajala Krd Rhl :
hela kubwa xana hyo
2025-10-12 20:52:03
0
michaelcleopah
@Michael_cleopah :
matumiz mabay ya fedha kwan hakun namn nyngn ya kusajili
2025-10-12 04:02:15
2
kev1826035953206
Premier league :
Na kweny chama chetu cha (CHAWABATA) tupo wanaume 95,788 ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
2025-10-11 13:44:49
2
elia.ngumbi6
Elia Ngumbi :
nilikuwa na omba TAKUKURU wafatilie ilo mbona kama Kuna Rushwa apo elf 10000 yote iyo
2025-10-10 11:41:16
25
user8283919760127
ยฃmmanลณษ™ฤผ :
Au me ndo sielewi mbn hiyo 10000 ni Budget yangu ya mwaka mzma kununua maji ya 1000?
2025-10-11 05:01:57
3
mwalongosebastian
sonny msaf :
au wanang mnaonaje watusainie kwa mkopo iyo hela tutakua tunapunguza kila baada ya wiki shingi mia 100
2025-10-10 05:09:11
36
To see more videos from user @mrfacta279, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About