bro nitumie ile link yakuangalia vitu mtandaoni bila kulipia
2025-10-11 17:28:31
0
Mrs ali :
tuonesh kufungua simu bila paswrd
2025-10-11 17:27:04
0
JumaMtanda_2015 :
Kwa upande wa simu mkuu unafanyaje ?
2025-10-11 11:10:04
0
macherano :
Kisu cha nini mzee😂
2025-10-10 20:53:35
8
Mr dj :
kwakiswahili tuone
2025-10-10 20:06:25
1
innokimaro :
mh, mm nimejaribu imegoma huenda labda ni aina ya computer ninayotumia au kuna jambo bado hujatuambia
2025-10-11 06:36:20
1
Savvy :
Na kwenye simu
2025-10-11 04:39:40
0
SASHA :
vip broo ikiwa kwenye computer n sio laptop inawezekan kufanya hvo ?
2025-10-11 08:57:28
0
FEEZMAN :
kwenye word vp
2025-10-11 11:47:11
0
rehemamkude0 :
umetisha sana
2025-10-11 09:58:54
0
Mr Beasty :
ongea kiswahili, si unatuona sisi wajinga eeh 😏
2025-10-11 10:02:13
0
phruannez tz :
Lkn ni lazim English kiswahili imegoma
2025-10-11 05:16:03
0
Meshy Neager :
window
2025-10-11 08:04:00
0
大阴茎 :
mbona kimasai inagoma
2025-10-11 11:47:03
0
Funny_Pi :
Sasa utachambia nn😂😂
2025-10-11 08:27:37
0
Chuga Matete :
oy bro mm sm yangu inashida Flani....... nikitaka kuingia playstore, Google na mafile mengine niliyodownload hayafunguki..... sjui shida nn na mwanzo nilikuwa natumia vizur tu yanafunguka. nisaidie kaka
2025-10-11 08:24:12
0
Mäñüü_de_kïñg :
big up bro
2025-10-11 08:14:31
0
Elisha Petro :
fire
2025-10-11 13:16:47
0
Michael mwalongo :
kata sasa huo mkono mbona Vingine unaharibu kweli
2025-10-11 07:59:41
0
David Mwangi :
I like your tips 💪
2025-10-11 07:22:10
0
Savvy :
And wifi office ninazoenda zote wifi ni password man tunafanyaje mkuu
2025-10-11 05:17:11
0
BINT MFALMEE :
Sisi wengine cm ndo kila kitu kwetu
2025-10-11 04:59:51
0
Oddo Komba :
ety free wifi inakuaj kuna rafiki yangu amedawnload app flan ivi ila anaonyeshwa password zote tulip ila ananyim kututajia
2025-10-11 05:12:38
0
@Billionaire Brother........🕊 :
Jamaa anajua mno
2025-10-10 22:14:06
0
To see more videos from user @ubeparicompany, please go to the Tikwm
homepage.