@chief_maalim_mpiri4: #tiktoktanzania🇹🇿tikito #trending #trend #tikitok #tiktokindia

THE GREAT GRAND FATHAR
THE GREAT GRAND FATHAR
Open In TikTok:
Region: TZ
Sunday 12 October 2025 12:27:06 GMT
399394
8151
619
6093

Music

Download

Comments

user9248725822026
user9248725822026 :
wanaoamini paka kamwagiwa mafuta yamoto like hapa
2025-10-13 11:52:26
82
ludovick.harson
Ludovick harson :
Kuondoa tena shetwan, mbon waislam mnatuchanganya saaa, shetan si alisilim na ni ndugu yenu katika iman
2025-10-13 05:26:54
34
lizzy_shoo
elizabethshoo03 :
Sasa kwenye biashara wateja watafanya kama paka anavyo Fanya hapo.watanilipaje!
2025-10-13 02:37:51
50
kalinjumaelias
Kalinjuma Elias :
mm namtegemea YESU TU.
2025-10-13 04:22:27
42
mapembe4
Mapembe :
mbona jamaa ni mkweli jaribu uone.kuanguka kwa watu madhabahuni wakubwa zenu wanatumia wakijidai wana nguvu za mungu.
2025-10-13 07:09:01
16
user1348934203011
user1348934203011 :
nimeweka hago mafuta dukani kwangu wateja wamenikimbia maana kilq anayekuja kwangu ana dondoka
2025-10-13 11:13:56
8
elzabethjoyy375
Elizabethjoyy :
staki mafuta, naitaji tu damu ya Yesu 🙏
2025-10-13 09:46:06
7
user8196175111395
mama ayman🫶🫶 :
unatumiaje unajipaka au tunafanyaje?
2025-10-17 10:35:03
0
user612295468344
Edina :
m paka anliningata tena wakupita tu mpak leo m nateseka aliningata kwe mguu hadi leo kuna vitu vinatembea magotininkama buibui cipandi paka mm hata ku
2025-10-13 13:03:26
1
j.sa65
Moyo wa dhahabu :
I'm proud to be Muslim...
2025-10-13 03:03:49
21
user2229123028785
violet :
mimi nayahitaji tafadhali
2025-10-17 22:08:39
0
helasy7
user2184400043062 :
yanaptikana kwenye maduka ya dawa za kisuna au mana natka kuyanunua
2025-10-13 06:06:20
1
butamu04
butamu04 :
AI iyo mzee baba
2025-10-17 22:42:17
0
franksamwel806
FRANKOO :
napatie kama unayo
2025-10-13 10:41:14
0
user79051109709373
user79051109709373 :
Kwahiyo unataka kusema paka anamajini
2025-10-13 04:53:47
1
mbishi79
M'bishi :
Sasa hayo ni mafuta ya kuchanganyikiwa au ni mafuta ya kuondoa balaa?
2025-10-12 21:48:24
4
saidaisaa3gmail.com1
user2722628852660 :
Mimi mwanangu alipewa paka aje afugee siku iyo nikachukua maji ga mwamposa na mafuta nikammwagia alihama nyumban na hajawahi kusogea tena ap
2025-10-13 09:06:20
1
evaristo.kapinga3
Evaristo Kapinga :
Hayo ni maji ya baraka sio mafuta Kanisani kuna mafuta ya Krisma,ni mafuta matakatifu hawezi kumwagiwa paka,yana kazi yake maalumu
2025-10-13 07:32:33
1
kipara17
kipara :
HAPO UMEWAKAMATA,NA UTAZIPIGZ MNO,WATU NI WAVIVU WA KUFIKIRIA WANATAMANI MSERERKO
2025-10-13 16:39:32
1
hotani111
Hotani :
upuuzi mtupu
2025-10-15 07:45:47
1
rangya_cuthbert_tarimu
Rangya Tarimu :
ayo majina yenyewe ya mafuta issue. kuyapata inakuwa issue mara ngapi?
2025-10-16 19:08:07
1
user91447909349992
user91447909349992 :
huyo sio paka kweli huyo ni mchawi sasa hayo mafuta km yanamuunguza ndiomana mm maisha yangu simpendi paka ww utaona unafuga paka kumbe mtu
2025-10-13 02:47:15
8
annaly217
annaly217 :
mm ndo maana simpend paka yan mm nimuone kwangu namuua
2025-10-13 04:21:12
15
jayne_wan.jiru
jay jayne :
paka Ana mashrtani?
2025-10-16 07:27:29
0
To see more videos from user @chief_maalim_mpiri4, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About