@avopatips: Usisumbuke na simu ya mumeo itakutia maradhi. #avopatips #motivation #ndoa #mume #mke

Avopa tips
Avopa tips
Open In TikTok:
Region: TZ
Sunday 12 October 2025 15:15:10 GMT
213456
9546
597
6801

Music

Download

Comments

oyaajamaaa
Ahmed Swaleh :
Nakataa hilo kama ninavyo ipekua yake nayeye anahaki aipekue yangu nisije kumletea ugonjwa siku moja , maadamu mimi ni wake nayeye ni wangu sioni shida hapo kushikiana simu.
2025-10-13 05:28:14
94
amina.chibupa2
Amina Chibupa :
Nasisi wanawake je hatuna ndugu
2025-10-12 19:16:51
10
fahadi.matoke
fahadi matoke🙃🙃 :
natamani ata nitoe sadaka kwa dahwa hiiii
2025-10-15 11:35:56
0
emmy04240
Emmy :
dada yake marhem nyundo huyu
2025-10-14 16:34:12
3
princecharmy_
░S░E░I░N░ 🇹🇿 :
Afunguliwe account tiktok huyu... Awape somo hawa viumbe wazito 😂😂
2025-10-13 03:33:32
30
missfarhaty
missfarhaty :
😂😂🤣Saw yako sishik na yang usithubut maan unawez kufa kabis 😏, kushika cm ya mtu kunakufany ujue unaish na mtu wa aina gan so ni wew kukubal kubak nae au kumuacha , kuna wanaume wanafany upuuz ata ukiambiwa mumeo kafany jambo fulan unakataa hila kuna migubegube ata kujistir haiwez cm tunashika 😂😂🤣utak usishike yang 🙌🙌🙌kila mtu afe na msalaba wake
2025-10-13 03:13:19
14
abdulrahmanahmed1970
Abuu Haafidh :
🤣🤣🤣🤣.....mama ujengewe sanamu wapi hebu sema chap!!!
2025-10-13 16:35:26
2
girlalone324
GIRL ALONE🌸💔 :
Mama koma mama nakuheshimu mama 👌
2025-10-13 19:35:26
15
rogio803
rogio803 :
Huyu mama apewe ulinzi wa hali ya juu... Ana madini ya thamani sana 💯
2025-10-12 20:25:57
37
padanchody
B mazaga :
wanaume tume kubaliana sanam la uyu mama lijengwe wapi ..?
2025-10-13 17:34:29
7
mamyshamila
sweety sweety :
Nani kasema hicho kitu cm yangu yangu tu tn akishika yangu atakuja kufa kwa presha maana watan wangu ndio shida ss
2025-10-13 04:09:07
8
mrsmine128
Mrs Mine❤️ :
We mzee unatafuta tukutukane useme hatuna adabu
2025-10-13 06:12:59
14
lov_narmeen1
Terebina03 :
Hawa ndo masomo wa zamani walofanya mama zetu wakae kwenye ndoa za mateso😂😂😂. mama hii ni 2025 muasheni huyu bibi atajikojolea anaota🤣🤣
2025-10-13 06:39:21
9
dollar999.999
Khamis :
mama sanamu lake lijengewe wapi?mm naanza kukusanya mchango wa ujenzi wa sanamu lake😏😁
2025-10-14 10:27:21
5
mrworldwide6666
🌍 MR WORLD WIDE 🌍 :
wallhy mama ajengewe sanamu hapo posta gharama zote juu yangu🤣🤣
2025-10-13 11:31:34
5
sabbysam7
sabbysam7 :
Kila kitu changu chake kweli kasoro pesa zangu😂
2025-10-13 09:38:10
3
ladyhawaa
ladyhawaa :
Shukraan Aunty Shuu👌 huna baya kipenz
2025-10-13 04:06:36
20
myombo0
anthony :
nileteeni huyo mama ofcn kwangu kuna gari mpya kwaajili yake 💰
2025-10-12 19:15:46
22
priankaandbabyanka
BARKE ❤️ :
Mm nimeolewa ila mm bdo malaya swez mpa cmu yngu maan atajiuwa km🤣🤣🤣😅
2025-10-14 17:17:15
0
creddo01
creddo_shot it📸📷🎥 :
hyu mama kwenye vikao vyetu alichungulia dirishani 😂😂😂
2025-10-13 09:29:26
2
meeramohamed10
Sameera Mohamed :
Hata kama anawatani wake na simu yake hatushiki heshima katika ndoa ni muhimu mamangu. Unaposema kuwa simu zao zina mambo mengi mnakosesha wanawake thamani. Hio Mambo mengi utakapo kuwa kwako unaachia nje, hakuna mwenye haja na simu zao because we already know they interact with too many but respect and Iman ya dini ni muhimu.
2025-10-13 04:08:22
3
kajupesa
kajupesa :
watoto wa 2000 hawawez kuwlewa mama
2025-10-13 04:04:08
4
2h198
tauhidanabil :
Sie hatuna wahisani wala ndugu
2025-10-13 15:38:47
4
user4984062038816
salmida kunchil :
ad siku maradhi yakupate ndo ujuwe na maradhi ni yake
2025-10-13 16:23:05
1
fattyser
Fattyser :
ukoloni mambo leo!
2025-10-13 15:51:32
1
To see more videos from user @avopatips, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About