tatizo ni kwamba hatuna marafiki alafu watu wengi hawatupendi hadi ndugu tulio zaliwa nao wanatutenga
2025-10-21 21:39:04
1203
omar rajab :
kwakweli Sina rafiki,sipendwi na wasichsna kama walivyo wenzangu,kwakweli upon sahihi
2025-12-11 08:04:49
0
penieldesam :
Mimi ndugu zangu Wana doo kuniliko but they always say mimi hujifanya Sina pesa but deep down Sina hata supper, I think of something it happens, nikiwa madogo nishai Ona light imekaa kwa Hao na Ni ocha haukuwa na stima, tukaanza kusema Ni uchawi but now I came to understand, nimefikiria mambo mengi Sana yakafanyika.
2025-12-11 07:13:40
0
Anold gerald :
Chosen one ni wagumu sana kumuamini mtu yeyote.
2025-10-21 16:59:19
471
elikamwakipesile :
naumia tu kwamba wanasaidia hawasaidiwi๐ญ๐ญ
2025-10-21 18:00:05
632
Nellywise :
Choose one like apa
2025-10-21 20:42:41
567
Turkana finest๐ :
They are comfortable and feel at peace when they are alone.
2025-10-22 11:29:55
714
caren rn :
๐คฃ๐คฃ๐คฃ sasa kila mtu comment section ni chosen one juu anateseka
2025-10-21 16:51:31
230
MAGOHE BINGWA WA TIBA ASILI. :
Wengi wao ni wazaliwa wa kuanzia mwezi Aprili,May na tarehe za mwanzoni za mwezi June
2025-11-11 03:07:50
8
@HayaGirl๐๐ฆ :
na atupendagi kukaa n wat MD wote tunajifungia pkee yetu
2025-10-21 17:02:20
465
user1356658514814 :
maisha yao ningumu sana then wanakuwanga under attack every time,na huwezi pikana na wao very true
2025-10-21 16:06:12
130
NEEMA SANGA :
WANACHUKIWA NA KUKATALIWA SAANA.๐ญ
2025-10-22 05:57:17
542
Daudi :
Maisha yao ni magumu saana lakini wanapata njia ya kujitoa kwa matatizo yeyote...
2025-10-22 13:23:58
230
Rich A :
what I know a bout chosen ones is that this people are very sensitive..
2025-10-21 20:22:46
197
Salome Konas :
Ila ni mabalaa kila siku,ukifurahi siku moja,tano za majonzi,ila nimezoea
2025-10-21 17:58:20
155
directorsaimaco :
Hatupendi starehe. Huruma 100% na machozi yakiwemo. Fikra za moja kwa moja. Tunapenda kushauri. Ukweli ndo usiseme. Kukaa pekee yetu ndo tunapenda.
2025-10-24 22:21:18
11
God's massager๐๐ :
Alf Huwa tuko na hasira za haraka sana
2025-10-22 12:30:08
139
De Bobby. :
Give signs to know someone is chosen one?
2025-10-22 22:33:31
5
๐คด ๐ ๐ :
wenye tunaface rejection juu ya aura yako tuko wapi. ?
2025-10-22 13:45:32
59
mussa :
hawalogwi hata siku moja ni hatari sana
2025-10-22 07:52:55
180
Inacio de Salema :
sometimes huwa hawaji kabisa kumiliki Mali, wanabebaga spiritual battles za familia, ukitupa jini linaenda kwake, ulevi yeye, dharau ye ndio anabeba, sad enough huwa hawakumbukwi ni familia, atapata shida hata ya muda mrefu atakaa hapo hata wenzie hawaoni uzito wa hiyo shida, they carry battles for us
2025-10-21 17:24:38
54
stonestar :
imagine hawakoseangi mtu, naukiwakosea ole wako u can't succeed. Tuseme ukue in a relationship Na wao Alf utoke bila wao kukuacha Huwezi olewa Tena!!!
2025-10-22 05:03:57
45
user8592087800829 :
Na kwann watu wanatuchukia bila sababu๐ฅบ mmi naumiaga sema cwez kumlazimisha mtu anipende๐ญ kwnn jmn dah!!!
2025-10-22 09:14:39
12
filshenry :
huwezi kupambanao 5/5
2025-10-25 10:46:50
6
To see more videos from user @vv3asia, please go to the Tikwm
homepage.