@designhitex: Đi làm vui lắm nha #cuocsong #shortvideo #haihuoc

HaiAnhTD16
HaiAnhTD16
Open In TikTok:
Region: VN
Wednesday 22 October 2025 00:37:32 GMT
58855
559
14
54

Music

Download

Comments

helenlqzecm
Ity :
Cưng hôm nay mặc đẹp quá nè 😆🤣😂🥰❤
2025-10-22 19:35:31
0
huong.pham2940
Huong Pham :
Cưng quá hà..chúc cưng ngày mới vui vẻ đẹp trai nhé cưng có gu thời trang đẹp tuyệt vời 🥰🥰🥰
2025-10-22 01:55:13
0
user14738353123218
user14738353123218 :
🥰🥰🥰
2025-10-22 00:51:58
1
nguynththuloan65
ThuLoan :
2025-10-24 12:22:40
0
lm.giang78
Lâm Giang :
🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰
2025-10-24 05:23:29
0
anhphuong8779
BIN BON 🥰😍😘 :
🤓🤣🤠😂
2025-10-24 04:38:37
0
trinh.dung67
Trinh Dung :
🤣🤣🤣🤣🤣
2025-10-24 03:00:50
0
nguyen.thuy3619
Nguyen Thuy :
😁😁😁
2025-10-24 00:23:10
0
be.duuuuuu
:(( :
🥰🥰🥰
2025-10-23 11:13:34
0
sn.cng026
Sơn Công :
🥰
2025-10-23 07:44:33
0
namvo.8
võ thanh nam :
🥰🥰🥰
2025-10-22 13:22:57
0
hngtrn1405
hngtrn1405 :
🥰🥰🥰
2025-10-22 11:33:12
0
user91322599
Bích🌹 Diệp1💋974🌿💋🌿💋🌿🌹 :
💕💕💕
2025-10-22 00:59:54
0
tamnguyen25806
tamnguyen :
Quá đúng luôn mọi người ơi
2025-10-22 23:54:31
0
To see more videos from user @designhitex, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos

*ROZARI YA HURUMA YA MUNGU* *_MWONGOZO_* ```KWA JINA LA BABA NA LA MWANA NA LA ROHO MTAKATIFU``` AMINA. *BABA YETU X 1* Baba yetu uliyembinguni jina lako litukuzwe ufalme wako ufike utakalo lifanyike Duniani kama mbinguni utupe Leo mkate wetu wa kila siku, utusamehe makosa yetu kama tunavyowasamehe NASISI waliotukosea usitutie katika kishawishi lakini utuokoe maovuni Amina. *SALAMU MARIA X 3*         Salamu Maria Umejaa Neema Bwana yu nawe umebarikiwa kuliko wanawake wote na yesu mzao wa tumbo lako amebarikiwa Maria mtakatifu Mama wa Mungu utuombee sisi wakosefu sasa na SAA ya kufa kwetu Amina. *NASADIKI*        Nasadiki kwa Mungu Baba mwenyezi muumba wa mbingu na Dunia na kwa Yesu Kristo mwana wa pekee Bwana wetu aliyetungwa kwa uwezo wa Roho Mtakatifu, akazaliwa na Bikira Maria, Akateswa kwa mamlaka ya ponsyo pilato akasulubiwa, akafa, akazikwa, akashukia kuzimu siku ya tatu akafufuka katika wafu akapaa Mbinguni, amekaa kuume kwa Mungu Baba Mwenyezi Toka huko atakuja kuwahukumu wazima na wafu. Nasadiki kwa Roho Mtakatifu, kanisa Takatifu katoliki, ushirika wa watakatifu maondoleo ya dhambi, ufufuko wa miili na uzima wa milele. Amina *01. BABA WA MILELE  X 1*        Baba wa Milele ninakutolea mwili na Damu, Roho na Umungu wa mwanao mpenzi, Bwana wetu Yesu Kristo kwa kulipia dhambi zetu na dhambi za Dunia Nzima. *KWA AJILI YA MATESO X 10*        Kwa ajili ya mateso makali ya Bwana wetu Yesu Kristo, *Utuhurumie sisi na Dunia Nzima* *02. BABA WA MILELE X 1*       Baba wa Milele ninakutolea mwili na Damu, Roho na Umungu wa mwanao mpenzi, Bwana wetu Yesu Kristo, kwa kulipia dhambi zetu na dhambi za Dunia Nzima. *KWA AJILI YA MATESO X 10*      Kwa ajili ya mateso makali ya Bwana wetu Yesu Kristo, *Utuhurumie sisi na Dunia Nzima* *03. BABA WA MILELE X 1*        Baba wa milele ninakutolea Mwili na Damu Roho na Umungu wa mwanao mpenzi Bwana wetu Yesu Kristo kwa kulipia dhambi zetu na dhambi za Dunia Nzima. *KWA AJILI YA MATESO X 10*      Kwa ajili ya mateso makali ya Bwana wetu Yesu Kristo, *Utuhurumie sisi na Dunia Nzima* *04. BABA WA MILELE X 1*       Baba wa Milele ninakutolea Mwili na Damu, Roho na Umungu wa mwanao mpenzi Bwana wetu Yesu Kristo kwa malipizi ya dhambi zetu na dhambi za Dunia Nzima. *KWA AJILI YA MATESO X 10*       Kwa ajili ya mateso makali ya Bwana wetu Yesu Kristo, *Utuhurumie sisi na Dunia Nzima* *05. BABA WA MILELE X 1*       Baba wa Milele ninakutolea Mwili, Roho na Umungu wa mwanao mpenzi Bwana wetu Yesu Kristo kwa malipizi ya dhambi zetu na dhambi za Dunia Nzima *KWA AJILI YA MATESO X 10*      Kwa ajili ya mateso makali ya Bwana wetu Yesu Kristo, *Utuhurumie sisi na Dunia Nzima* *MUNGU MTAKATIFU X 3*      Mungu Mtakatifu, Mtakatifu mwenye Enzi, Mtakatifu unayeishi Milele Utuhurumie sisi na Dunia Nzima. #gospelvideos #kenyatiktok #trendingvideo #gospelmusic #catholicchurch #tiktoktanzania🇹🇿🇹🇿 #gospelchallenge #ecclesiastes #tiktokkenya #tiktokuganda🇺🇬 #gospel_tiktok
*ROZARI YA HURUMA YA MUNGU* *_MWONGOZO_* ```KWA JINA LA BABA NA LA MWANA NA LA ROHO MTAKATIFU``` AMINA. *BABA YETU X 1* Baba yetu uliyembinguni jina lako litukuzwe ufalme wako ufike utakalo lifanyike Duniani kama mbinguni utupe Leo mkate wetu wa kila siku, utusamehe makosa yetu kama tunavyowasamehe NASISI waliotukosea usitutie katika kishawishi lakini utuokoe maovuni Amina. *SALAMU MARIA X 3* Salamu Maria Umejaa Neema Bwana yu nawe umebarikiwa kuliko wanawake wote na yesu mzao wa tumbo lako amebarikiwa Maria mtakatifu Mama wa Mungu utuombee sisi wakosefu sasa na SAA ya kufa kwetu Amina. *NASADIKI* Nasadiki kwa Mungu Baba mwenyezi muumba wa mbingu na Dunia na kwa Yesu Kristo mwana wa pekee Bwana wetu aliyetungwa kwa uwezo wa Roho Mtakatifu, akazaliwa na Bikira Maria, Akateswa kwa mamlaka ya ponsyo pilato akasulubiwa, akafa, akazikwa, akashukia kuzimu siku ya tatu akafufuka katika wafu akapaa Mbinguni, amekaa kuume kwa Mungu Baba Mwenyezi Toka huko atakuja kuwahukumu wazima na wafu. Nasadiki kwa Roho Mtakatifu, kanisa Takatifu katoliki, ushirika wa watakatifu maondoleo ya dhambi, ufufuko wa miili na uzima wa milele. Amina *01. BABA WA MILELE X 1* Baba wa Milele ninakutolea mwili na Damu, Roho na Umungu wa mwanao mpenzi, Bwana wetu Yesu Kristo kwa kulipia dhambi zetu na dhambi za Dunia Nzima. *KWA AJILI YA MATESO X 10* Kwa ajili ya mateso makali ya Bwana wetu Yesu Kristo, *Utuhurumie sisi na Dunia Nzima* *02. BABA WA MILELE X 1* Baba wa Milele ninakutolea mwili na Damu, Roho na Umungu wa mwanao mpenzi, Bwana wetu Yesu Kristo, kwa kulipia dhambi zetu na dhambi za Dunia Nzima. *KWA AJILI YA MATESO X 10* Kwa ajili ya mateso makali ya Bwana wetu Yesu Kristo, *Utuhurumie sisi na Dunia Nzima* *03. BABA WA MILELE X 1* Baba wa milele ninakutolea Mwili na Damu Roho na Umungu wa mwanao mpenzi Bwana wetu Yesu Kristo kwa kulipia dhambi zetu na dhambi za Dunia Nzima. *KWA AJILI YA MATESO X 10* Kwa ajili ya mateso makali ya Bwana wetu Yesu Kristo, *Utuhurumie sisi na Dunia Nzima* *04. BABA WA MILELE X 1* Baba wa Milele ninakutolea Mwili na Damu, Roho na Umungu wa mwanao mpenzi Bwana wetu Yesu Kristo kwa malipizi ya dhambi zetu na dhambi za Dunia Nzima. *KWA AJILI YA MATESO X 10* Kwa ajili ya mateso makali ya Bwana wetu Yesu Kristo, *Utuhurumie sisi na Dunia Nzima* *05. BABA WA MILELE X 1* Baba wa Milele ninakutolea Mwili, Roho na Umungu wa mwanao mpenzi Bwana wetu Yesu Kristo kwa malipizi ya dhambi zetu na dhambi za Dunia Nzima *KWA AJILI YA MATESO X 10* Kwa ajili ya mateso makali ya Bwana wetu Yesu Kristo, *Utuhurumie sisi na Dunia Nzima* *MUNGU MTAKATIFU X 3* Mungu Mtakatifu, Mtakatifu mwenye Enzi, Mtakatifu unayeishi Milele Utuhurumie sisi na Dunia Nzima. #gospelvideos #kenyatiktok #trendingvideo #gospelmusic #catholicchurch #tiktoktanzania🇹🇿🇹🇿 #gospelchallenge #ecclesiastes #tiktokkenya #tiktokuganda🇺🇬 #gospel_tiktok

About