@jabondo12:

George Okello Jabondo
George Okello Jabondo
Open In TikTok:
Region: KE
Friday 24 October 2025 14:22:32 GMT
17040
477
117
362

Music

Download

Comments

ladyofpiece
lovely lady :
kwani wote ni warabu Hawa watu..wa Abduswamad
2025-10-25 06:12:49
4
bin.hassan96
user81938027045756 :
waizi wanauluzana maswali wenyewe kwa wenyewe.....haya ni maajabu
2025-10-25 00:33:05
29
kambuquality46
KĂmɓŭ QŮåļīTỳ :
waswahili matako
2025-10-25 21:55:44
0
cool__soul__1234
kind_hearted :
Gago hapo nyuma hata hajui kwaendelea nn
2025-10-25 08:33:57
5
alphatangobravo254
alphatangobravo254 :
Watu wa Mombasa wanaibiwa na wanalala
2025-10-25 10:35:01
2
abdulkhaliddully
abu khalid :
hao MCA's wamefanya Nini wao kama wao? kama huyo shilla wa shimanzi amfanya Nini? Bure kabisa
2025-10-25 07:46:53
0
dianadvqziz
dianadvqziz :
waswahili wote😢
2025-10-25 17:15:31
0
aminibaya
Alameen :
mombasa country yataka gavana mpya huyu wasasa hajui maisha ya wanamombasa
2025-10-25 05:39:13
21
kidevukidevuhassa
Kidevu Kidevu Hassan :
hii mungeligeuza maji ya chumvi yakatumika kwa mahitaji ya nyumbani
2025-10-25 07:05:38
2
mariomi88
mariomi88 :
Waende jela acheni drama...
2025-10-25 05:32:51
4
dankamama1
user 55556777 :
Ghana 🇬🇭 🇬🇭 🇬🇭 ndiyo kuna watu wa kubeba taka ☺️☺️☺️☺️huku kenya hakuna ☺️☺️☺️it's so funny 😆 🤣 😄 😂
2025-10-25 05:16:17
7
nasir.nasir1011
Nasir Nasir :
let this people step aside . This country is let us down . governor you must revist . For the benefit of Mombasa people . we are taking a note . this is our right we don't demand
2025-10-25 20:02:41
0
mejuly64
mejuly :
wote waende nyumbani,mombasa ni chafu,sewage membe tayari ni aiyibuu.
2025-10-25 17:54:19
1
shabanjuma281
Shaban Juma :
tatizo mombasa mwaikabidhi Kwa watu wasio wazowa watakuwa vipi na uchungu nayo
2025-10-25 07:28:59
3
joysa195
Joysa :
wanaiba sana na Mombasa town yanuka kaa Nini.
2025-10-25 09:11:22
3
chilavatchila
Abu Shiri :
wahizi nyote nyinyi kwendeni zenu pr tu hizo
2025-10-25 04:14:58
9
hassan_march01
PRIVATE LIFE :
But problem iko Kenya wale wanaoukwa na scandal kama hizi ndio wanaopendwa na wananchi kwa ground na hata wakisimama kwenye uchaguzi wanachaguliwa na hata wakishikwa na eacc watu watafanya maandamano waachiliwe so hata kama wewe ndio umeiba hizo pesa si ungegaka tu kuendelea kuiba pesa
2025-10-25 05:33:46
3
chidddyboy3
Chiddyboy :
Hao wote washakula pesa ila wamedhulumiana sasa chuki imetanda
2025-10-25 10:15:32
2
abuu777778
abuu77777 :
yani kampuni ya kubeba taka hapa kenya hakuna mpaka itafutwe Ghana? mwisho mutaleta county inspectorate wa kutoka nigeria
2025-10-25 20:03:20
0
mohamedidris149
mohamedidris149 :
wanaleta ufukara Mombasa
2025-10-25 16:38:46
0
kelle.phonestore
kelle :
this are greedy MCA's,they've nothing questions,they only demands for share...but it's unfortunate...no scandal so far.
2025-10-25 03:53:26
7
halimaa301
halimaa301 :
wote waarabu 😳😳😳 twaijua hio
2025-10-25 12:00:09
1
munira.ramadhan6
unbotherd :
I'm seriously hurt and disturbed how the cou ty servants think it's ok to just take away so much money from the public even the fact that it's ailing. look at the public schools and hospitals... they should all be arrested
2025-10-25 08:39:25
3
bob1love73
Boblove :
17 bilion what bulandaaa🔥🔥
2025-10-25 16:55:57
0
ladyofpiece
lovely lady :
waizi wote hawa
2025-10-25 06:14:04
1
To see more videos from user @jabondo12, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About