@bbcnewsswahili: Waziri mkuu wa Tanzania, Mwigulu Nchemba amesema kuwa Tanzania inawindwa kwa rasilimali zake. Ameyasema hayo wakati wa mkutano wake wa kufanya tathmini ya athari ya machafuko ya wiki ya uchaguzi nchini humo. Tanzania ilishuhudia maandamano na vurugu wiki ya uchaguzi mkuu wa oktoba 29. #bbcswahili #fyp #tanzaniatiktok #kenyantiktok #foryou

bbcnewsswahili
bbcnewsswahili
Open In TikTok:
Region: TZ
Monday 24 November 2025 13:27:45 GMT
71646
2389
373
90

Music

Download

Comments

footballenthusiast08
Football pundit. :
Kama Tanzania 🇹🇿 ni nchi tajiri mbona mnaomba mikopo nje? Kumanyoko!
2025-11-24 13:37:20
154
amoscyprian
Amos Cyprian :
kwahiyo Mwaka 2025 ndio Rasilimali zimekuja nchini 😂😂
2025-11-24 13:46:12
67
officialkanje
kanje tz :
Ama kiongoz hum mwizi
2025-11-24 19:20:34
2
joassenyael
Gift :
Mama kasema tuna rasilimali chache usimbishie
2025-11-24 13:37:33
57
kalilatz
Kalila :
Huu ni ukweli, tangu uranium imegundulika matatizo ndio yakaanza. tuamke
2025-11-24 14:03:49
4
user2161145215512
user2161145215512 :
😂😂 SHIDA MNATEKA WATU NA KUUWA WATU ALAFU MNATAKA TUTULIE
2025-11-24 13:41:03
33
twahilizsaiddy
Tarik_3003 :
Anaongea na Nani?!
2025-11-24 13:32:02
39
simela255
ANYO⚓️🚢 :
Mbona mama kasema tuna rasilimali chache ?😳
2025-11-24 13:49:59
15
neobraxy
NeoBraxy :
😂😂😂Larry Madowo kawachemsha waTanzania 😂😂😂
2025-11-24 14:07:04
3
kiongoz123
tajiriKwanza :
hawa hawana umoja...yaan huyu anasema hv huyu vile
2025-11-24 20:11:52
0
bobby_jr07
B.O.B 98 :
ila jamani sisi tuna rasilimali chache...huo utajiri umetokea wapi tenaa
2025-11-24 14:01:31
17
dobests001
esir dobest :
nikweli kabisa wazungu wanataka kupora tanzania watanzanie muwe makini sana
2025-11-24 14:53:32
2
user3407366173022
Alhikma bin Nassor :
Sisi hayo yote uliyoyataja tunafaidika vipi?
2025-11-24 14:11:28
14
kilatyaerick
Kilatya Erick :
Then why go for loans if Tanzania is that rich..
2025-11-24 14:43:12
2
user5153706079095
naima seif :
nyoko wewe adui wetu ni nyie hatuwataki
2025-11-24 14:37:38
2
soli_tz
soli0202 :
daah kumbe mwaka huu ndo tumepata madini ... kumbeeee
2025-11-24 13:55:14
7
emmaxendru1
emmaxendru1 :
si mama la mama kasema nchi ina Rasilimali chache shida kila mtu anaongea analolijua yy😂😂😂
2025-11-24 17:26:19
0
fredernest498
FEMONE SHOP🙏🙏 :
Tatz hizo Mali mnazifaidi viongozi tu na sio wananchi kwa ujumla
2025-11-24 15:15:55
0
mushauri.wa.rais
mushauri wa rais :
wewe na huyo samia wako ni makuma tu
2025-11-24 14:38:12
13
msmaryjack
Ms lee :
mbona bibi mnywa damu kasema Kuna asilimali chache....tumuekewa nani sasa🤔🤔
2025-11-24 13:55:20
4
user2194624125669
nepal :
sasa uwa pesa mnakopa za nn
2025-11-24 15:34:43
2
chapaaandrew
Chapaa fundi :
Sasa Huwa mnakopa Hela za Nini kama ni matajir
2025-11-24 14:21:05
8
abuu1584
Shemgaa Mazisho :
🤣🤣🤣🤣🤣 Maamae mmekosa point sasaaaaa Izo rasilimali mmezigundua leo?
2025-11-24 14:46:51
5
veebangacake
Victoria Banga :
samia si amesema nchi yetu inarasilimali chache ndo mana tunategemea mikopo😥
2025-11-24 14:01:08
19
rex28113
Rex :
Acha porojo
2025-11-24 13:54:08
9
To see more videos from user @bbcnewsswahili, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About