@mcshondelive: MCSHONDE akiwa ndani ya Power Breakfast ya Clouds Fm amefungua SEVA na kutuletea faili la Singapore - Nchi iliyotoka kwenye umaskini mkubwa.

mcshondelive
mcshondelive
Open In TikTok:
Region: TZ
Tuesday 25 November 2025 07:39:36 GMT
446209
18205
240
781

Music

Download

Comments

1234481938dd
imma :
alafu kuna mtu anaisifia ccm ujinga mtupu
2025-11-25 09:51:45
350
u6kriss
BROWN family :
Unae soma hii comment MUNGU akulinde 🙏🏻 🙏🏻
2025-11-25 18:46:26
179
mwanjaa.madonna
MWAHIJA HAMIDU :
Ni nchi ngumu mno kuingia na ni nchi tajiri mno
2025-11-25 13:37:41
24
majigo35
Nabil wa vanila :
Freee Zanzbar 😭😭
2025-11-25 19:43:20
25
user1990941022691
KARIIMA ABDALLAH :
inshaallah ipo siku na Zanzibar yetu itakua na mamlaka kamili na italeta mabadiliko kwa raia wake Allah kareem
2025-11-25 13:44:27
42
ramadhani_9596
Ramadhani Ibrahim :
nashukuru sana kwa kunifahamisha, Yan leo ndo nimejua kuwa Singapore ni nchi dah...!! mm nilikua najua Singapore ni mji au mkoa ndani ya India, aisee ubarikiwe
2025-11-25 09:29:15
71
selemani.issa0
Bai :
🤣🤣🤣🤣 naicheka ccm miaka 60 walicho fahuru ni ufisadi.
2025-11-25 15:38:18
53
user1624456797860
bm :
mbn ya nchini kwenu hamuongelei
2025-11-25 10:03:51
21
kansela44
Kansela55 :
D9🔥🔥🔥
2025-11-25 09:09:55
11
mkuria_pipo
mkuria_pipo :
TANZANIA IS NEXT 🇹🇿 💪🤝
2025-11-26 01:22:25
5
abu.imran995
abu imran :
alafu kuna mtu anamsifia nyerere.
2025-11-25 15:42:47
5
its_beny01
Its_beny01 :
Halafu kuna nchi yangu Tz 😭
2025-11-25 14:13:43
18
mouser_cn
ꪑꪮꪊ𝕤ꫀ𝕣_ᥴꪀ :
inahitaj viongoz waadilifu sana kufanikiwa
2025-11-25 15:59:45
15
ngosha146
Ngosha :
sisi tumejalisa rasilimali ila viongoz ndo hatuna
2025-11-25 12:26:25
11
strong_windy
Strong Wind :
ndio maana tunapambana kuachana na CCM Miaka 60 ya Uhuru Hadi Leo wanahubiri Barabara na Maji 😂😂😂 kama mijinga hivi
2025-11-26 05:27:05
8
mrkopesha
ES Newstv :
nchi ya kuigwa duniani
2025-11-26 07:26:29
5
daniel.royal.empe
DANIEL ROYAL EMPEROR :
Hala😭fu kuna Tanzania ina rasilimal za kutosha halaf njoo kwa hao viongoz sasa 😭
2025-11-25 15:20:12
7
juma.khalid988
Juma Khalid :
tutaifanya Zanzibar kuwa Singapore kiongozi mmoja kasema hivyo lkn kuna hao mazumbukuku wa ccm unajuwa wamejibu vupi Singapore musimfuwate huyo ana wadanganya dah ccm kweli ni mijitu dhulma na ufisadi
2025-11-25 17:21:10
5
mdogomdogo18
RAFIKI WA FAIDA :
uku kwetu uchawa umewaja nikusifia tu Kila kitu Ili tu matumbo Yao tu yajae bas
2025-11-26 10:50:15
1
user274753913304
MOVIE BOX :
hawa ndiyo viongozi ☺️☺️
2025-12-07 04:06:06
3
user810325781833
tukumbushane mema@ :
swali..ukubwa wa hio nchi ni sawa na nchi gani hapa African??
2025-11-25 13:48:51
1
starboymarko254
Starboymarkoofficial :
corruption yetu na greed of politicians haiwezi ruhusu nchi zetu kuwa kama Singapore
2025-11-26 05:34:12
3
traveler....11223333
Mr black 😎 :
alafu mtu anaimba mitano tena mavi kichwani
2025-11-25 19:05:50
4
diamondi222
j_pizzo👑 :
shida tanzania haijali vipaji kabisa
2025-11-27 05:15:23
3
gwaki.masetta
Gwaki Masetta :
Dah, clouds media huo ni uhaini mjue
2025-11-25 19:14:09
4
To see more videos from user @mcshondelive, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About