Kwan Sauli ziliacha kazi baada ya boss kufariki au kabla?
2025-12-03 04:22:21
2
mfumbulwahamza :
kama unaziona road Super Sami sawa
2025-12-03 16:44:26
2
Jlastborn_ :
inategemea na masharti🤣🤣
2025-12-05 18:30:34
1
TANZANIA BUSES TRENDING 🚦🛣📸 :
dua kama pata kuweopo na usima mizi mzuri kuanzia kweny familia hadi kwenye meneg ment hakuna kinacho hari bika ila familia iki leta tamaa ya kugawana mapema ... kampuni ina kacha mapema tu😂😂😂
2025-12-03 04:45:54
1
Anrudh_Braham :
ataendelea kuishi kila tukiona buses zake kama tumemuona yeye
2025-12-04 18:03:37
3
abubakarmohammed414 :
2025-12-03 17:35:58
2
Official Gee moo💕 :
Yaan ndio kwanza kinawaka upya😁😁😁 hakipotei kitu
2025-12-05 07:20:01
1
SDT :
matajiri wa mabas wakisepa wanasepa na mali zao
2025-12-05 16:25:36
0
Everynice :
rip
2025-12-03 16:04:07
1
Jd 4real :
kupotea aiwez bado jinakubwa
2025-12-05 06:49:57
1
Andrew John :
katarama kilusi icho kinawala wenzie kinataka kitawale chenyewe load 😁