@senkayi.media.256: HAPPENING NOW LIVE IN NTUNGAMO DISTRICT #ProtectingTheGains #SilentMajority #ntungamudistrict #senkayimedia

SENKAYI MEDIA
SENKAYI MEDIA
Open In TikTok:
Region: NL
Thursday 27 November 2025 12:46:12 GMT
35162
1633
58
54

Music

Download

Comments

francisier97
BARGLOGUE FRANCIS :
I go for Hon. Eng. Juliet Kindyahamutima. The most capable iron lady for Ntungamo District.
2025-11-27 17:55:07
5
turyakira.benedic
Turyakira benedicto :
watushwaza mazima Voila
2025-11-27 21:25:22
2
ainomujunimeron
meron wa mummy :
😂😂our mp interpretation must shine
2025-11-27 19:05:09
2
user2617527300159
lord is my shepherd :
my deputy speaker come to kyegegwa independent nibingi munonga kandi ni abebembezi omukibina kitu
2025-11-28 11:36:12
0
2013addah
addah mwebesa :
viola juu 👍👍
2025-11-27 15:06:21
3
user6963328845145
PABURO Wilz :
No tiyatuswaza kwihaho nawe takumanya Runyakole 🙏
2025-11-28 04:52:23
2
dorynfrassy
frassy :
our violah
2025-11-27 15:26:48
0
mamashallom1
maama shallom :
much love 💕💕💕💕💕
2025-11-27 13:20:19
2
user9761876097816
BATARE UG :
voila oyeeeee
2025-11-27 20:57:01
0
gleam_ville
gleam_ville :
Awwwww❤❤❤❤♥
2025-11-27 14:35:35
0
pricher
Pricher :
Namanya oyeee!
2025-11-27 13:57:55
1
user3662210524528
user3662210524528 :
Viola oyeeeee
2025-11-28 13:40:24
0
onexms
onexms :
😳😳😳😳😳😅😅😏😏😏😏
2025-11-28 10:10:02
0
onesmus_256
@onesmus :
🥰
2025-11-28 17:38:25
0
user3561765022138
lohn Nyakeiru omuzigaaba :
ntungamo muswaza how cn u vote a certain person who dnt knw English wht z she going to speak in parliament
2025-11-27 21:56:29
2
umber510
umber :
Hon Namanya Juuuuuuu💛💛💛💛💛💛💛💛
2025-11-27 17:55:05
2
orishaba49
Orishaba :
viola oyeee
2025-11-28 06:17:40
0
user4075247878546
editor :
by the way she doesn't know runyankole very well coz she is always speaking English. even her grand ma speaks English
2025-11-28 11:53:15
0
nabaasawithus
Nabaasa Withus :
viola oyeee
2025-12-06 18:01:27
0
mr.digital.ug
CEO DIGITAL ADVERTS LTD :
So confused Viola 🤔
2025-11-27 14:50:19
7
kabongo7689
Kabongo :
is that how you will interpret laws in Parliament my sister?
2025-11-27 15:18:32
3
aruhukirecostance
Aruhukire Costance :
our babe viola
2025-11-27 13:48:00
2
kiza0946
kiza :
🥰
2025-11-27 13:16:53
1
doreen43197
@doreen4319 :
we are team viola for life.
2025-11-27 19:57:35
1
bridget.scents
Bridget scents :
Violah🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣eshi Entebbe ekakutomera mbwenu ekuberireyo😂😂😂😂
2025-11-27 16:54:14
1
geoffrey.nuwamany5
Geoffrey Nuwamanya :
viola
2025-11-27 14:34:19
1
ladydn5
@LadyDN :
❤❤❤
2025-11-27 13:06:00
1
namanyaamos908
Amos Americana murefu :
takuma English
2025-11-27 13:49:46
1
penlope.beauty0
Penlope beauty lady :
our fighter viola we trust you very munonga
2025-11-27 16:34:49
0
mercypearl2022
MercyPearl Kahimakazi :
hmmm
2025-11-28 09:18:59
0
user6187946200137
Brian legco @2025 :
vote Nup
2025-11-28 03:38:20
0
user6240483155978
RonaldKM :
juuuuuuu
2025-11-27 20:43:01
0
user51866614746996
Suzie :
haaaaa just wondering
2025-11-27 20:24:10
0
tumushaberuth3
frank remiboy :
okuvunura kwaba kari🤣🤣🤣🤣🤣🤣@oooooooomukama mp
2025-11-27 20:19:09
0
lupitaoops
lupitaoops :
it's a sure win
2025-11-27 14:26:43
0
calorinewalakira
Carol :
Our Woman MP🥰🥰🤝🤝🤝
2025-11-27 17:46:02
0
annettekyosiimire
Kyosi :
all the best
2025-11-27 16:57:15
0
nowei06
Nowe Impex Ltd :
Tuswaddee🙆🏼‍♂️🙆🏼‍♂️🫣🫣
2025-11-27 16:32:41
0
To see more videos from user @senkayi.media.256, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos

Mimi ni baba umri wangu ni miaka 39, nimeoa na tumebarikiwa watoto watatu mpaka Sasa. Mimi ni mwanajeshi ila Kwa Sasa nimeacha kazi baada ya kupata matatizo ya kisukari iliyo pelekea Mimi nikakatwa mpaka mguu, ni mwaka wa pili Sasa toka nikatwe mguu lakini hali yangu bado ni mbaya sana na mara nyingi nalazwa sana hospital pia huu mguu ulio bakia uko kwenye hatari pia ya kukatwa. Dada kama ujuavyo watu wenye sukari huwa ni ngumu tena kufanya tendo la ndoa au hata ukifanya uwezo siyo ule ulio kuwa nao mwanzo, Mimi Kwa Sasa uwezo wa kufanya tendo haupo kabisa Kwa sababu Afya yangu ni mbaya sana, nateseka sana. Kilicho fanya nikutafute dada yangu ni mambo ambayo ananifanyia mke wangu, Kuna siku niliwahi kuona kwenye simu yake Wana wasiliana na mwanaume mwingine pale pale nikawa nimepata jibu kuwa mke wangu amesha pata mwanaume mwingine, niliumia sana, nikalia sana, ila Kwa vile Sina uwezo wa kumridhisha tena ikabidi tu nimuombe hayo mambo yake awe anafanyia mbali na siyo kwangu au kunionyesha wazi wazi, nikamuomba pia ahakikishe watoto wasijue hicho kitu. Dada, ilikuwa jumatano usiku nilisikia nyuma ya nyumba kishindo Cha mtu, ikabidi nichukue magongo yangu nikatoka taratibu mpaka nje, Kwa vile nyumba Ina ina uzio ikabidi nizunguke taratibu kuangalia nyuma, Kwa macho yangu nilimkuta mke wangu kakumbatiana na mwanaume huku mke wangu kavaa nguo ya ndani huku taulo lipo chini, yule mwanaume baada ya kuniona alinikimbilia nikajua anakuja kunipiga, alicho fanya ni kunisukuma nikandondoka chini akawa amekimbia, siku bahatika Kumuona sura, na mke wangu akawa amepitia upande wa pili akarudi ndani. Haya yote sijamuambia mtu yeyote nafikiria hata nifanye nini nashindwa, nawaza niwaambie ndugu zangu Ili wanisaidie kuachana na huyu mke wangu ila hofu yangu ni watoto bado wadogo na sipendi walelewe na mtu mwingine, nawapenda sana wanangu, najua maisha yangu hapa Duniani yame baki kidogo tu ila napenda niendelee kuwaona wanangu wakiwa na furaha. Ukweli dada yangu Kwa Sasa naona mke wangu ndiye anaye nitesa kuliko hata huu ugonjwa wenyewe nashindwa hata Cha kufanya, nateseka sana sioni sababu ya mimi kuletwa hapa Duniani mateso ni makali, sijamuelezea mtu yeyote kuhusu hii tabia ya mke wangu hata dada wa kazi nimemkataza asije kumuambia mtu yeyote lakini imebaki kama mateso kwangu.
Mimi ni baba umri wangu ni miaka 39, nimeoa na tumebarikiwa watoto watatu mpaka Sasa. Mimi ni mwanajeshi ila Kwa Sasa nimeacha kazi baada ya kupata matatizo ya kisukari iliyo pelekea Mimi nikakatwa mpaka mguu, ni mwaka wa pili Sasa toka nikatwe mguu lakini hali yangu bado ni mbaya sana na mara nyingi nalazwa sana hospital pia huu mguu ulio bakia uko kwenye hatari pia ya kukatwa. Dada kama ujuavyo watu wenye sukari huwa ni ngumu tena kufanya tendo la ndoa au hata ukifanya uwezo siyo ule ulio kuwa nao mwanzo, Mimi Kwa Sasa uwezo wa kufanya tendo haupo kabisa Kwa sababu Afya yangu ni mbaya sana, nateseka sana. Kilicho fanya nikutafute dada yangu ni mambo ambayo ananifanyia mke wangu, Kuna siku niliwahi kuona kwenye simu yake Wana wasiliana na mwanaume mwingine pale pale nikawa nimepata jibu kuwa mke wangu amesha pata mwanaume mwingine, niliumia sana, nikalia sana, ila Kwa vile Sina uwezo wa kumridhisha tena ikabidi tu nimuombe hayo mambo yake awe anafanyia mbali na siyo kwangu au kunionyesha wazi wazi, nikamuomba pia ahakikishe watoto wasijue hicho kitu. Dada, ilikuwa jumatano usiku nilisikia nyuma ya nyumba kishindo Cha mtu, ikabidi nichukue magongo yangu nikatoka taratibu mpaka nje, Kwa vile nyumba Ina ina uzio ikabidi nizunguke taratibu kuangalia nyuma, Kwa macho yangu nilimkuta mke wangu kakumbatiana na mwanaume huku mke wangu kavaa nguo ya ndani huku taulo lipo chini, yule mwanaume baada ya kuniona alinikimbilia nikajua anakuja kunipiga, alicho fanya ni kunisukuma nikandondoka chini akawa amekimbia, siku bahatika Kumuona sura, na mke wangu akawa amepitia upande wa pili akarudi ndani. Haya yote sijamuambia mtu yeyote nafikiria hata nifanye nini nashindwa, nawaza niwaambie ndugu zangu Ili wanisaidie kuachana na huyu mke wangu ila hofu yangu ni watoto bado wadogo na sipendi walelewe na mtu mwingine, nawapenda sana wanangu, najua maisha yangu hapa Duniani yame baki kidogo tu ila napenda niendelee kuwaona wanangu wakiwa na furaha. Ukweli dada yangu Kwa Sasa naona mke wangu ndiye anaye nitesa kuliko hata huu ugonjwa wenyewe nashindwa hata Cha kufanya, nateseka sana sioni sababu ya mimi kuletwa hapa Duniani mateso ni makali, sijamuelezea mtu yeyote kuhusu hii tabia ya mke wangu hata dada wa kazi nimemkataza asije kumuambia mtu yeyote lakini imebaki kama mateso kwangu.

About